Skip to main content

BOLT AMFAGILIA FELLAINI, ASEMA ATANG`ARA MAN UNITED, AWATAKA MASHABIKI KUMPA SHAVU LA NGUVU!

BINGWA wa kukata upepo katika riadha, Usain Bolt amewataka mashabiki wa Manchester United kuwa nyuma ya  Marouane Fellaini na kumuunga mkono kwa hali ya juu mara tu atakavaa jezi nyekundu ya Old Trafford.
Nyota huyo anayeshikilia rekodi ya dunia  katika mbio za mita 100 na 200 ,  na shabiki mkubwa wa United alisema hayo huku akishikilia jezi ya timu ya taifa ya Ubelgiji yenye jina la Fellaini mgongoni.
Hii imekuja muda mfupi tu tangu Bolt amtake kocha wa Man United, David Moyes kusajili kabla ya dirisha la usajili la majira ya kiangazi kufungwa.
Huge United fan: Usain Bolt showed off a Belgium shirt with Marouane Fellaini on the backShabiki wa kufa wa United: Usain Bolt akionesha jezi ya timu ya taifa ya Ubelgiji yenye jina la Marouane Fellaini mgongoni
“David Moyes, tunahitaji kiungo mjuzi, ambaye anaweza kupiga pasi na kutengeneza nafasi, mwenye uwezo mkubwa kumiliki mpira na mtu thabiti, tunataka muda huu”. Alisema Bolt akimuambia kocha wa Man United.
Lakini baaada ya Fellaini kusajiliwa, labda Bolt ametulizwa moyo kwa ushabiki wake wa soka.
Pia aliongea kitu ambacho hakikutarajiwa na wengi kuwa atastaafu riadha baada ya mashindano ya Olympiki ya mwaka 2016 huko Rio.
‘Nadhani nimejijenga jina na nataka kwenda kushiriki mashindano hayo na kufanya vizuri, nadhani itakuwa wakati muafaka wa kusataafu nikiwa juu na kutawala kwa muda mrefu”. Alisema Bolt.
Ready to go: Bolt admitted that he may not have any motivation after the Rio OlympicsTayari kustaafu: Bolt amesema hataendelea tena na riadha baada Olympic za Rio

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...