Skip to main content

BOLT AMFAGILIA FELLAINI, ASEMA ATANG`ARA MAN UNITED, AWATAKA MASHABIKI KUMPA SHAVU LA NGUVU!

BINGWA wa kukata upepo katika riadha, Usain Bolt amewataka mashabiki wa Manchester United kuwa nyuma ya  Marouane Fellaini na kumuunga mkono kwa hali ya juu mara tu atakavaa jezi nyekundu ya Old Trafford.
Nyota huyo anayeshikilia rekodi ya dunia  katika mbio za mita 100 na 200 ,  na shabiki mkubwa wa United alisema hayo huku akishikilia jezi ya timu ya taifa ya Ubelgiji yenye jina la Fellaini mgongoni.
Hii imekuja muda mfupi tu tangu Bolt amtake kocha wa Man United, David Moyes kusajili kabla ya dirisha la usajili la majira ya kiangazi kufungwa.
Huge United fan: Usain Bolt showed off a Belgium shirt with Marouane Fellaini on the backShabiki wa kufa wa United: Usain Bolt akionesha jezi ya timu ya taifa ya Ubelgiji yenye jina la Marouane Fellaini mgongoni
“David Moyes, tunahitaji kiungo mjuzi, ambaye anaweza kupiga pasi na kutengeneza nafasi, mwenye uwezo mkubwa kumiliki mpira na mtu thabiti, tunataka muda huu”. Alisema Bolt akimuambia kocha wa Man United.
Lakini baaada ya Fellaini kusajiliwa, labda Bolt ametulizwa moyo kwa ushabiki wake wa soka.
Pia aliongea kitu ambacho hakikutarajiwa na wengi kuwa atastaafu riadha baada ya mashindano ya Olympiki ya mwaka 2016 huko Rio.
‘Nadhani nimejijenga jina na nataka kwenda kushiriki mashindano hayo na kufanya vizuri, nadhani itakuwa wakati muafaka wa kusataafu nikiwa juu na kutawala kwa muda mrefu”. Alisema Bolt.
Ready to go: Bolt admitted that he may not have any motivation after the Rio OlympicsTayari kustaafu: Bolt amesema hataendelea tena na riadha baada Olympic za Rio

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog