Skip to main content

CHEGGE, SHETTA WAKIONA AIRPORT

WAKATI mwanasoka Joseph Kaniki ‘Golota’, bondia Karim Matumla na msanii Agnes Gerald wakifikishwa mahakamani juzi (Jumatano) katika nchi mbili tofauti barani Afrika, wana Bongo Fleva maarufu nchini, Chegge Chigunda na Hassan Bilal ‘Shetta’, Jumanne iliyopita walikiona cha moto baada ya kuhisiwa kubeba ‘poda’ na hivyo kufanyiwa upekuzi mkali katika Uwanja wa Ndege wa Zanzibar.
Habari zilizopatikana juzikati zinasema, Chegge na Shetta walisafiri salama kwa boti kutoka Dar es Salaam kwenda Zanzibar wakiwa safarini kuelekea Mombasa walikoalikwa kwa ajili ya shoo.
“Wale askari wa uwanjani baada ya kuwaona wasanii hao waliwatilia shaka kwa nini wapandie ndege Zanzibar badala ya Dar es Salaam, wakahisi wamebeba mzigo, basi walifanyiwa upekuzi mkali, mizigo yao ilitolewa kila kitu, kwa kweli walihenya ile mbaya.
Shetta.
“Lakini kitu cha kushangaza ni kwamba waliopekuliwa namna hiyo ni wao tu, watu wengine walisachiwa kidogo na kuachiwa wapite. Pamoja na kwamba ni vita nzuri ya kupambana na mihadarati lakini wakati mwingine ni ‘too much’,” kilisema chanzo chetu kilichoshuhudia tukio hilo.
Chegge.
Hata hivyo, baadhi ya mashuhuda walisema Chegge na Shetta walisafiri kwa boti hadi Zanzibar na baadaye kupanda ndege kuelekea Mombasa kwa vile ipo ndege inayokwenda na kurudi baina ya miji hiyo miwili tu ya pembezoni mwa Bahari ya Hindi.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog