Skip to main content

Drake kumshirikisha baba yake mzazi kwenye album yake "Nothing Was The Same"

Ikiwa siku za kuachia album yake "Nothing Wa The Same" zinakaribia (Sep 24), habari zaidi zinazid kutoka. Habari zilizoenea sasa ni kuwa Drake atamshirikisha baba yake mzazi kwenye ngoma ambayo itakuwa ni bonus kwenye album hiyo " Heat of the moment."

“Naishi katika ndoto za baba yangu. Baba yangu alitaka kuwa muimbaji maarufu, kulikuwa na interview zingine ambazo waliniuliza kuhusu baba yangu, na sikutaka kuongelea kuhusu hilo, na kuna ngima ambazo sijamfanya baba yangu kuonekana ni mtu mkubwa, mwisho wa siku, baba yangu anajua kuwa nampenda na kuwa ni rafiki yangu mkubwa." amesema Drake.
Bado haijawekwa wazi kama baba mzazi wa Drake, Dennis Graham ataimba kwenye ngoma hiyo au sauti yake tu ndio itakayoskika kama sample, kama kwenye ngoma ya zamani ya Drake “Jodeci Freestyle” aliyomshirikisha J. Cole

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...