Skip to main content

Kaniki,Matumla wanaswa na unga

 


STRAIKA wa zamani wa Simba, Joseph Kaniki ‘Golota’ pamoja na bondia chipukizi, Mkwanda  Matumla wapo mikononi mwa polisi jijini Addis Ababa, Ethiopia kwa tuhuma za kukutwa na dawa za kulevya.
Watuhumiwa hao wawili, raia wa Tanzania ambao wanajuta na kububujikwa na machozi kila kukicha walifikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Jumatatu iliyopita kwenye eneo linaloitwa Arada. Siku yoyote kuanzia leo Jumanne watapanda kizimbani tena kwa mara nyingine.
Mwanaspoti liliipata habari hii tangu Jumamosi jioni na kuanza kuifanyia kazi kabla ya Kaimu Balozi wa Tanzania Ethiopia, Samuel Shelukindo kuithibitishia Mwanaspoti jana  Jumatatu kwamba wanamichezo hao wameshikiliwa nchini humo na polisi wa Kitengo cha Uchunguzi wa Makosa ya Jinai.
Wanamichezo hao walikamatwa na kilo saba za dawa kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Bole jijini Addis Ababa, Mkwanda akikutwa na kilo nne wakati Kaniki alikuwa na kilo tatu.
Walikuwa wanajiandaa kuunganisha ndege ya Shirika la Ndege la Ethiopia wakielekea Paris, Ufaransa.
“Wameshikiliwa hapa Ethiopia kwa zaidi ya siku 10 sasa, sisi tulipigiwa simu na polisi wa hapa Alhamisi kujulishwa kwamba kuna Watanzania wawili wameshikiliwa kwa tuhuma za kukutwa na madawa ya kulevya, tulipokwenda tukamkuta ni Kaniki na Matumla,” alisema Shelukindo.
“Wao wenyewe wanaeleza kwamba walipitia Mombasa na huo mzigo walipewa na mtu mmoja wao walikuwa hawaelewi ukoje. Lakini Kaniki yeye anajitetea kwamba huyo aliyewapa huo mzigo pale Mombasa anajuana vizuri na Mkwanda. Kwa hiyo alichofanya yeye ni kuubeba tu, walikuwa wapite hapa Addis wakashuke Paris, Ufaransa ndio warudi Sweden kwa njia zao wanazojua wenyewe. Walipofika hapa Mkwanda alifanikiwa kupenya akapanda ndege lakini Kaniki akanaswa na mbwa ndipo akajitetea kwa polisi kwamba lile begi lilikuwa lake lakini mizigo mingine ilikuwa ya Mkwanda.
“Ndio hapo sasa Mkwanda akashushwa kwenye ndege wakashikiliwa na Jumatatu ya wiki iliyopita wakapandishwa kwenye Mahakama ya hapa kutajiwa kesi yao lakini hawakupewa nafasi ya kujitetea, hiyo kesi itatajwa tena Jumanne (leo) na Jumatano (kesho) na uchunguzi wa Polisi bado unaendelea.
“Kilichotokea ni jambo la aibu kwa nchi na hata wachezaji wenyewe wanajuta kwa mfano Kaniki anasema alikuwa aende England kucheza mpira mwezi Desemba lakini sisi tukamwambia hatuwezi kumsaidia inabidi akabiliane na kesi iliyoko mbele yake. Mkwanda yeye ametuambia kwamba anaishi Sweden hatuna maelezo yake zaidi,”alisema Shelukindo na kuongeza kuwa wamewapelekea wanamichezo hao msaada wa mablanketi kwa vile bado wako mahabusu na kwamba Ethiopia kwa sasa ni baridi kali.
Shelukindo alisema kwamba wachezaji hao wanaishi mahabusu kwenye kituo cha polisi (Federal Police Crime Investigation) na hawana chochote zaidi ya nguo walizokuwa wamevaa.
Alisema kuwa uwezekano wa Kaniki na Matumla kuachiwa au kesi yao kurudishwa Tanzania haupo kwa kuwa nchi hizi mbili hazina utaratibu wa kubadilishana wafungwa.
Shelukindo alisema pia Watanzania wengine waliokumbwa na madai kama yao walihukumiwa nchini Ethiopia.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog