Skip to main content

Linex amwagana na DEMU wake wa Kizungu...kisa ni Pesa na Muziki.


Kilichokua kinafata ni ndoa ambayo ilikua imepangwa na wote wawili baada ya Linex kukamilisha hatua muhimu ambayo ni kumvisha pete mchumba wake anaitwa Suvi raia wa Finland mwezi March 2013.


Millardayo amepata nafasi ya kuzungumza na Linex 
kwenye exclusive interview ambayo amekiri ni kweli imebidi kila mmoja aendelee na maisha yake na mapenzi yao kuisha kwa sababu kadhaa zilizojitokeza.

Sababu kubwa ni Suvi kutaka Linex ahamie Finland moja kwa moja na kwenda kuanza maisha mengine kwenye hiyo nchi ambayo ndio ingekua mara yake ya kwanza kufika, namkariri Linex akisema ‘kwa nia nzuri kabisa imekua ngumu kwangu kukubali hayo maamuzi, nataka kuendelea kufanya muziki wangu nyumbani’


‘Tayari nimetumia miaka zaidi ya 10 kutengeneza jina langu kwenye muziki hapa Tanzania, bongo mimi naishi vizuri na familia yangu naisaidia… sina tatizo la kuhangaikia maisha kwa kiasi hicho cha kwenda kuanza tena, yani ni sawa na mtu ameshaanza chuo mwaka wa kwanza alafu mtu anataka kukurudisha darasa la kwanza’

Sababu nyingine ni ‘mimi nimekua upande sana wa mama yangu, tayari nimeshanunua kiwanja namjengea mama yangu na biashara pia hivyo siwezi kuacha hii mipango isimame kwa sababu ya mapenzi, siwezi kuondoka kwenye maisha yangu kwenda kwenye maisha mengine sababu ya mapenzi’

Linex na Suvi walikua wamepanga kuoana lakini kwanza ilikua Linex anatakiwa kwenda Finland kutambulishwa manake ndugu wa mke mtarajiwa walikua wanamsikia tu hawajawahi kumuona, kisha angekwenda Finland kufunga ndoa alafu arudi tena Tanzania kufanya sherehe kisha aondoke moja kwa moja kuhamia Finland’

Ndoa ilikua inatakiwa kufungwa kabla ya february 2014 ambapo uhusiano wao umedumu kwa miaka miwili… baada ya kukutana kwa mara ya kwanza kwenye ndege Linex akitokea Nairobi ambapo Suvi  alikua anatokea Finland na kuja Tanzania/Afrika kwa mara ya kwanza, Linex akamfanyia ukarimu ikiwa ni pamoja na kumpeleka mpaka hotelini’

Kwa kuwa Suvi hakuwa na simu kwa wakati huo, Linex alimwachia namba ya simu lakini Suvi alikua kimya kwa kipindi chote cha mwezi mmoja mpaka siku moja Linex alipokutana nae Mlimani City Dar es salaam ndio urafiki ukaanza, Linex akawa anamtembelea hotelini na Suvi akawa anakwenda nyumbani kwa Linex kwa kipindi cha miezi minne ndio wakaingia mapenzini.

Credit: MillardAyo

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...