Skip to main content

Hizi ndizo sababu zilizosababisha gazeti la MWANANCHI NA MTANZANIA kusimamishwa na Serikali kwa muda.



Serikali kupitia kwa Mkurugenzi wa IDARA YA HABARI-MAELEZO (TIS) Assah Mwambene imesimamisha uchapishaji wa magazeti mawili makubwa ya Tanzania gazeti la Mwananchi na Mtanzania kwa kile kilichoitwa uhatarishaji wa amani na mshikamano wa taifa kwa kuandika makala za uchochezi zinazosababisha wananchi kukosa imani na vyombo vya ulinzi na usalama vya taifa.

Mwananchi linalomilikiwa na kampuni ya Mwananchi Communication Limited (MCL), limezuiliwa kwa muda wa wiki mbili baada ya kuchapisha habari iliyokuwa na kichwa cha habari "MISHAHARA MIPYA SERIKALINI 2013" kwenye toleo namba 4774 ambayo ulikuwa ni wakara wa siri wa serikali na haikuwa sahihi kutolewa na vyombo vya habari.

Kwa upande wa gazeti la MTANZANIA, toleo la 7262 la tarehe 20 Machi mwaka huu walichapisha habari iliyokuwa na kichwa cha habari kisemacho "URAISI WA DAMU" huku tarehe 12 Juni mwaka huu toleo namba 7344 liliandika habari yenye kichwa cha habari "MAPINDUZI HAYAEPUKIKI" habari ambazo zote zimekuwa hatari kwa usalama na amani ya taifa.

Gazeti hili limesimamishwa kwa muda wa siku tisini sawa na miezi mitatu kutokana na kuonywa mara kadhaa kuhusiana na mwenendo wake wa uandishi wa habari ambazo zinakuwa na hali ya uchochezi ikiwemo kuishutumu serikali kwa kuwa 'goigoi' kushughulikia matukio yenye sura ya kigaidi.

Hivyo basi kutokana na makosa yote tajwa, serikali kwa kutumia tangazo la serikali namba 332 la tarehe 27 Septemba 2013 limezuia machapisho hayo kwa muda uliotajwa hapo juu.

Aidha serikali imewataka wamiliki wa vyombo vya habari hasa wahariri kuzingazia taaluma ya habari na maslahi ya taifa na uzalendo katika ngazi ya hali ya juu kwa kutumia uhuru wa vyombo vya habari vizuri na si vinginevyo na sharia itachukua mkondo wake kwa kila chombo cha habari kitakacho kuwa chanzo cha uvunjifu wa amani na usalama ikiwemo kukifungia.

Adhabu zote mbili zimeanza kufanya kazi kuanzia tarehe 27 Septemba 2013 ambayo ndio ilikuwa tarehe ya kutoka kwa matangazo hayo ya serikali namba 332 na 333.

Comments

Popular posts from this blog

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog