Skip to main content

MEXIME: WANAOSEMA UWANJA WA SOKOINE MBAYA, WANATAKA TUKACHEZE KWENYE MAGODORO YA VITANDANI?

                                                           Mecky Mexime, Kocha Mtibwa Sugar



WAKATI muda unazidi kuyoyoma kuelekea mchezo mkali wa ligi kuu soka Tanzania bara hapa jijini Mbeya baina ya wenyeji wa uwanja wa sokoine, “Wajelajela”, Tanzania Prisons dhidi ya wakali wa mashamba  ya miwa ya Manungu Turiani Mkoani Morogoro, Mtibwa Sugar, kocha wa klabu ya Mtibwa, Mecky Mexime ametoa kali ya mwaka baada ya kuwaponda vikali wanaosema uwanja huu ni mbovu.
Akizungumza jijini hapa, Mexime amesema wanaosema uwanja wa Sokoine na mbaya hawana maana yoyote katika soka la Tanzania, kwani umekaguliwa na TFF na umekubalika, zaidi hata hao wanaosema uwanja haufai, hawana hata wa mazoezi.
“Mbona viwanja vyetu tunavijua sana, hawa wanaosema uwanja huu ni mbovu, mbona wanafanyia mazoezi viwanja vibovu  zaidi. Waache siasa katika soka pale wanaposhindwa, wacheze mpira na kuacha visingizio visivyokuwa ba maana”. Alisema Mexime.
Zaidi Mexime amewaacha hoi mashabiki wa soka baada ya kusema kuwa;  kama mtu anasema uwanja wa Sokoine mbaya, anataka mpira ukachezwe kwenye magodoro ya vitandani?.
“Kama uwanja  huu ni mbaya, sasa wanataka tukachezee kwenye magodoro?”. Alihoji Mexime.
Akizungumzia pambano la leo dhidi ya Tanzania Prisons, Mexime amesema itakuwa mechi nzuri sana na yenye mvuto kwani daima klabu yake inacheza soka la kuvutia.
“Sisi kazi yetu ni kucheza soka, sio kama hao wanaosingizia uwanja kila kukicha, tutapiga soka la ukweli”. Alisema Mexime.
Wakati huo huo nao Tanzania Prisons wamesema wako makini na mechi ya leo, hivyo wamewatoa shaka mashabiki wa Mbeya.
Kocha mkuu wa klabu hiyo, Jumanne Chale amesema wachezaji wake wana morali kubwa ya kusaka ushindi na kwa kiasi kikubwa wanategemea kushinda baada ya kutoa sare jumatano ya wiki hii dhidi ya Yanga.
Wao Mtibwa walitoa suluhu na Mbeya City katika uwanja wao wa Manungu siku ya jumatano.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...