Skip to main content

MEXIME: WANAOSEMA UWANJA WA SOKOINE MBAYA, WANATAKA TUKACHEZE KWENYE MAGODORO YA VITANDANI?

                                                           Mecky Mexime, Kocha Mtibwa Sugar



WAKATI muda unazidi kuyoyoma kuelekea mchezo mkali wa ligi kuu soka Tanzania bara hapa jijini Mbeya baina ya wenyeji wa uwanja wa sokoine, “Wajelajela”, Tanzania Prisons dhidi ya wakali wa mashamba  ya miwa ya Manungu Turiani Mkoani Morogoro, Mtibwa Sugar, kocha wa klabu ya Mtibwa, Mecky Mexime ametoa kali ya mwaka baada ya kuwaponda vikali wanaosema uwanja huu ni mbovu.
Akizungumza jijini hapa, Mexime amesema wanaosema uwanja wa Sokoine na mbaya hawana maana yoyote katika soka la Tanzania, kwani umekaguliwa na TFF na umekubalika, zaidi hata hao wanaosema uwanja haufai, hawana hata wa mazoezi.
“Mbona viwanja vyetu tunavijua sana, hawa wanaosema uwanja huu ni mbovu, mbona wanafanyia mazoezi viwanja vibovu  zaidi. Waache siasa katika soka pale wanaposhindwa, wacheze mpira na kuacha visingizio visivyokuwa ba maana”. Alisema Mexime.
Zaidi Mexime amewaacha hoi mashabiki wa soka baada ya kusema kuwa;  kama mtu anasema uwanja wa Sokoine mbaya, anataka mpira ukachezwe kwenye magodoro ya vitandani?.
“Kama uwanja  huu ni mbaya, sasa wanataka tukachezee kwenye magodoro?”. Alihoji Mexime.
Akizungumzia pambano la leo dhidi ya Tanzania Prisons, Mexime amesema itakuwa mechi nzuri sana na yenye mvuto kwani daima klabu yake inacheza soka la kuvutia.
“Sisi kazi yetu ni kucheza soka, sio kama hao wanaosingizia uwanja kila kukicha, tutapiga soka la ukweli”. Alisema Mexime.
Wakati huo huo nao Tanzania Prisons wamesema wako makini na mechi ya leo, hivyo wamewatoa shaka mashabiki wa Mbeya.
Kocha mkuu wa klabu hiyo, Jumanne Chale amesema wachezaji wake wana morali kubwa ya kusaka ushindi na kwa kiasi kikubwa wanategemea kushinda baada ya kutoa sare jumatano ya wiki hii dhidi ya Yanga.
Wao Mtibwa walitoa suluhu na Mbeya City katika uwanja wao wa Manungu siku ya jumatano.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog