Skip to main content

MNYAMA KUJIPIMA UBAVU NA KMKM KESHO TAIFA….MCHAKATO WA KATIBA WASHIKA KASI KIDIJITALI ZAIDI, MASHABIKI KUTUMA MAONI KWA E-MAIL!!

10Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Mbeya
WEKUNDU wa Msimbazi, Simba  wanatarajia kushuka dimbani katika mchezo wa kirafiki utakaofanyika kesho Ijumaa, Septemba 6 mwaka huu dhidi ya mabingwa wa soka wa Ligi Kuu ya visiwani Zanzibar, KMKM, Uwanja wa Taifa mjini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa iliotolewa na Afisa habari wa klabu ya Simba, Ezekiel Kamwaga inafafanua kuwa lengo kuu la mechi hiyo ni mazoezi ya klabu hiyo kujiandaa na mchezo wake wa ligi kuu soka Tanzania bara dhidi ya Mtibwa Sugar,  Septemba 14 mwaka huu uwanja wa Taifa. 
“Kikosi kamili cha KMKM kimewasili mjini Dar es Salaam tayari na leo saa tano na nusu kamili nahodha wake, Abdi Kassim Babi na kocha mkuu wa timu hiyo wanatarajiwa kuzungumza na waandishi wa habari katika mgahawa wa City Lounge katikati ya jiji”. Alisema Kamwaga.
Kamwaga ameongeza kuwa Simba inaendelea na mazoezi yake jijini Dar es salaam na wachezaji wake wote wapo katika hali nzuri na tayari kwa ajili ya mechi hiyo.
Afisa habari huyo alifafanua kuwa mechi hiyo itaanza majira ya saa 11 jioni ili kuwezesha watu wengi kwenda uwanjani kutazama mechi hiyo ikizingatiwa kuwa Ijumaa ni siku ya kazi.
Mechi hiyo inakuja muda mfupi baada ya kufanyika mechi maalumu septemba 2 mwaka huu ya kuwatambulisha nyota wake wapya, Henry Joseph, Gilbert Kaze na Amisi Tambwe dhidi ya Mafunzo ya Zanzibar ambapo Simba waliibuka na ushindi wa mabao 4-3 katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.
Wakati huo huo Kamwaga ameeleza kuwa:  Kufuatia tangazo la Mwenyekiti wa Simba, Alhaj Ismail Aden Rage, kuhusu Mkutano wa Katiba uliopangwa kufanyika Novemba mwaka huu, klabu imeanzisha rasmi mchakato wa kuwa na Katiba Mpya itakayokwenda na wakati.
Kutokana na umuhimu wa mawazo ya Wana Simba ndani na nje ya nchi kufahamika kupitia mchakato huu, klabu imeanzisha email maalumu iitwayo maoniyakatibayasimba@gmail.com  ambapo wana Simba na wapenzi wa soka kwa ujumla wanatarajiwa kuwasilisha mawazo na michango yao kuhusu nini kinapaswa kuingizwa katika Katiba mpya ya klabu.
Uongozi wa Simba unawaomba wapenzi na washabiki wa soka popote walipo duniani kuchangia mawazo katika njia hii. Mawazo yatakayochangiwa kwenye email hii yatatumika katika kutengeneza rasimu ya Katiba hiyo na rasimu hiyo itapelekwa kwenye matawi yote ya klabu kwa ajili ya kujadiliwa na wanachama.
Mawazo hayo ya wanachama yatasaidia katika kutengeneza Katiba ambayo hatimaye itawasilishwa kwenye Mkutano wa Novemba kwa ajili ya mapitio na kupitishwa.
Wana Simba wanatakiwa kujitokeza katika mchakato huu kwa faida ya kujenga Simba ya kisasa na yenye tija na ufanisi

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog