Skip to main content

KOCHA JKT OLJORO AWAKANDIA UBINAFSI WAO, ASEMA KWA SERA ZAO WATABAKI KUWA WASHIRIKI TU WA LIGI KUU!!

_MG_0721Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Mbeya
Tabia ya baadhi ya watu kuendekeza hila, fitina na tamaa ndio chanzo cha kumaliza soka la klabu za Tanzania kuanzia ligi za chini mpaka ligi kuu.
Hayo yemesemwa na aliyekuwa kocha wa JKT Oljoro, Riziki Shawa ambaye kwa sasa amebwaga manyanga ambapo amesema wakati ikifundisha klabu hiyo kuna baadhi ya watu walikuwa na tamaa na kutaka kuendesha timu watakavyo wao.
“Kuna watu wanajifanya ile timu wanaijua sana, kuna watu wana tamaa sana, kutoka ukatibu mkuu mtu anataka ukocha mkuu, soka haliko hivyo, na hawatafanikiwa kwa misingi hiyo”. Alisema Riziki.
Riziki alisema kwasababu wao ni wanajeshi, basi wanataka kuendesha timu wenyewe kwa wenyewe na wanaamini wanaweza kufanikiwa kwa haraka, jambo ambalo ni sumu sana kwa klabu ya soka.
“Pia kuna wakati wanaendekeza ukabila, kwasababu mkubwa ni kabila lake, basi wanataka kubebana na kuendesha klabu watakavyo”. Alisisitiza Riziki.
Riziki aliongeza kuwa kila binadamu anataka sifa, ila mpira unatakiwa kuucheza kwanza na baadaye uje kuufundisha, lakini kwa Tanzania watu hawajacheza mpira na wanang`ang`ania kufundisha timu kubwa na wanashindwa kufanikiwa.
“Kuna makocha ambao ni bora sana, kocha anatakiwa kuwa mfano, ukiangalia uwezo alionao kocha Mbwana Makata aliyeaacha kazi JKT Oljoro ni bonge la kocha, tulifanya kazi nzuri, lakini kutokana na tamaa zao na kumfanyia majungu akaamua kuondoka”.
Riziki alisema ametoa mchango mkubwa sana katika maendeleo ya klabu hiyo, lakini leo hii wanaona hana jipya na wanashindwa kumthamini kutokana na urasimu wao, na kwa misingi hiyo hawatafanikiwa.
“Kwa sera zao, hila zao, fitina zao, majungu yao na kubebana kwao kutawafanya kuwa washiriki tu wa ligi kuu, mafanikio yatakuwa ni ndoto kwao”. Riziki alipigilia msumari wa moto.
Akizungumzia mipango yake, Riziki amesema kwa sasa anapumzika, lakini kuna timu zimemfuata kuzungumza naye na anaweza kufundisha hata ligi daraja la kwanza.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...