Skip to main content

KOCHA JKT OLJORO AWAKANDIA UBINAFSI WAO, ASEMA KWA SERA ZAO WATABAKI KUWA WASHIRIKI TU WA LIGI KUU!!

_MG_0721Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Mbeya
Tabia ya baadhi ya watu kuendekeza hila, fitina na tamaa ndio chanzo cha kumaliza soka la klabu za Tanzania kuanzia ligi za chini mpaka ligi kuu.
Hayo yemesemwa na aliyekuwa kocha wa JKT Oljoro, Riziki Shawa ambaye kwa sasa amebwaga manyanga ambapo amesema wakati ikifundisha klabu hiyo kuna baadhi ya watu walikuwa na tamaa na kutaka kuendesha timu watakavyo wao.
“Kuna watu wanajifanya ile timu wanaijua sana, kuna watu wana tamaa sana, kutoka ukatibu mkuu mtu anataka ukocha mkuu, soka haliko hivyo, na hawatafanikiwa kwa misingi hiyo”. Alisema Riziki.
Riziki alisema kwasababu wao ni wanajeshi, basi wanataka kuendesha timu wenyewe kwa wenyewe na wanaamini wanaweza kufanikiwa kwa haraka, jambo ambalo ni sumu sana kwa klabu ya soka.
“Pia kuna wakati wanaendekeza ukabila, kwasababu mkubwa ni kabila lake, basi wanataka kubebana na kuendesha klabu watakavyo”. Alisisitiza Riziki.
Riziki aliongeza kuwa kila binadamu anataka sifa, ila mpira unatakiwa kuucheza kwanza na baadaye uje kuufundisha, lakini kwa Tanzania watu hawajacheza mpira na wanang`ang`ania kufundisha timu kubwa na wanashindwa kufanikiwa.
“Kuna makocha ambao ni bora sana, kocha anatakiwa kuwa mfano, ukiangalia uwezo alionao kocha Mbwana Makata aliyeaacha kazi JKT Oljoro ni bonge la kocha, tulifanya kazi nzuri, lakini kutokana na tamaa zao na kumfanyia majungu akaamua kuondoka”.
Riziki alisema ametoa mchango mkubwa sana katika maendeleo ya klabu hiyo, lakini leo hii wanaona hana jipya na wanashindwa kumthamini kutokana na urasimu wao, na kwa misingi hiyo hawatafanikiwa.
“Kwa sera zao, hila zao, fitina zao, majungu yao na kubebana kwao kutawafanya kuwa washiriki tu wa ligi kuu, mafanikio yatakuwa ni ndoto kwao”. Riziki alipigilia msumari wa moto.
Akizungumzia mipango yake, Riziki amesema kwa sasa anapumzika, lakini kuna timu zimemfuata kuzungumza naye na anaweza kufundisha hata ligi daraja la kwanza.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog