Skip to main content

Obama kuendeleza shinikizo kwa Syria




Rais wa Marekani Barack Obama, amesema kuwa atafanya juhudi zaidi za kidiplomasia kuangamiza zana za kemikali za Syria , lakini pia ameambia jeshi lake kuwa tayari kuchukua hatua ikiwa juhudi zake zitafeli.
Kwenye hotuba yake , Obama alisema kuwa amelitaka baraza la Congress kuakhirisha kura yake kuhusu kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Syria.
Marekani imetishia kufanya mashambulizi ya angani baada ya shambulizi la kemikali kuwaua mamia ya watu mjini Damascus mwezi jana.
Urusi imependekeza kuwa silaha hizi ziwekwe chini ya udhibiti wa jamii ya kimataifa.
Ingawa maafisa wa Syria wamekubali kutii agizo la Marekani, nchi hiyo pamoja na washirika wake wana wasiwasi ikiwa Syria itafanya kama inavyosema.

Athari za vita nchini Syria , watoto hawajasazwa
Mpango wa Urusi ulisababisha siku moja ya mashauriano mazito ya kidiplomasia katika Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne.
Akiongea katika Ikulu ya White House, Obama alisema kuwa serikali yake, ilikataa wito wa kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Syria kwa sababu haamini ikiwa kutumia nguvu itasuluhisha mgogoro huo.
Lakini alisema kuwa alibadili msimamo wake baada ya zana za kemikali kutumiwa kwenye mashambulizi katika viunga vya mji wa Damascus tarehe 21 mwezi Agosti.
"usiku huo, dunia nzima iliona kwa kina athari mbaya za zana za kemikali na kwa nini watu wengi duniani wanahisi kuwa zana hizo hazipaswi kabisa kutumiwa, ni uhalifu dhidi ya binadamu na ukiukwaji wa sheria za vita,'' alisema Obama.
Serikali ya Syria imekanusha kuwa ilitumia silaha za kemikali kushambulia watu na badala yake imelaumu waasi ikisema walizitumia katika juhudi zao za kutaka kumng'oa mamlakani Rais Bashar al-Assad

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog