Skip to main content

Obama kuendeleza shinikizo kwa Syria




Rais wa Marekani Barack Obama, amesema kuwa atafanya juhudi zaidi za kidiplomasia kuangamiza zana za kemikali za Syria , lakini pia ameambia jeshi lake kuwa tayari kuchukua hatua ikiwa juhudi zake zitafeli.
Kwenye hotuba yake , Obama alisema kuwa amelitaka baraza la Congress kuakhirisha kura yake kuhusu kutumia nguvu za kijeshi dhidi ya Syria.
Marekani imetishia kufanya mashambulizi ya angani baada ya shambulizi la kemikali kuwaua mamia ya watu mjini Damascus mwezi jana.
Urusi imependekeza kuwa silaha hizi ziwekwe chini ya udhibiti wa jamii ya kimataifa.
Ingawa maafisa wa Syria wamekubali kutii agizo la Marekani, nchi hiyo pamoja na washirika wake wana wasiwasi ikiwa Syria itafanya kama inavyosema.

Athari za vita nchini Syria , watoto hawajasazwa
Mpango wa Urusi ulisababisha siku moja ya mashauriano mazito ya kidiplomasia katika Umoja wa Mataifa siku ya Jumanne.
Akiongea katika Ikulu ya White House, Obama alisema kuwa serikali yake, ilikataa wito wa kuchukua hatua za kijeshi dhidi ya Syria kwa sababu haamini ikiwa kutumia nguvu itasuluhisha mgogoro huo.
Lakini alisema kuwa alibadili msimamo wake baada ya zana za kemikali kutumiwa kwenye mashambulizi katika viunga vya mji wa Damascus tarehe 21 mwezi Agosti.
"usiku huo, dunia nzima iliona kwa kina athari mbaya za zana za kemikali na kwa nini watu wengi duniani wanahisi kuwa zana hizo hazipaswi kabisa kutumiwa, ni uhalifu dhidi ya binadamu na ukiukwaji wa sheria za vita,'' alisema Obama.
Serikali ya Syria imekanusha kuwa ilitumia silaha za kemikali kushambulia watu na badala yake imelaumu waasi ikisema walizitumia katika juhudi zao za kutaka kumng'oa mamlakani Rais Bashar al-Assad

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...