Skip to main content

OZIL AWACHANGANYA WACHEZAJI MADRID, RONALDO AONGOZA MGOMO KWA KUMPOTEZA MJERUMANI FUNDI!

MCHEZAJI ghali zaidi Duniani, Gareth Bale hajagusa hata nyasi za Bernabeu baada ya kuvunja rekodi ya Dunia ya usajili kwa dau la pauni milioni 86, lakini shida zimeshaanza katika chumba cha kubadilishia nguo katika klabu ya Real Madrid.
Thamani ya Mesut Ozil kwa wachezaji wenzake wa Real Madrid ilionekana jumatano jana wakati wachezaji walikuwa wanapiga kelele za kumkubali huku wakisema  haina shida Bale atarithi mikoba yake.
Kwa upande wa nyota wa Ureno na klabu hiyo, Cristiano Ronaldo amenyong`onyea baada ya kumpoteza Ozil, wakati huo huo nao  Alvaro Arbeloa, Isco na hata nyota wa wapinzani wao, FC Barcelona, Cesc Fabregas wamekerwa na kitendo cha Mjerumani huyo mwenye kipaji cha juu kuondoka ligi ya Hispania.
Angry: Cristiano Ronaldo has reportedly complained to Portugal team-mates about Mesut Ozil's saleHasira: Cristiano Ronaldo ameripotiwa akilaumu mbele ya wanandinga wenzake wa timu ya taifa ya Ureno kuwa amechukizwa na kuuzwa kwa Mesut Ozil
Running the show: Ronaldo, training with Portugal, believes Ozil can always find him with a passAkiongoza mazoezi: Ronaldo, akifanya mazoezi na timu ya taifa ya Ureno, na ana amini Ozil alikuwa mpikaji mzuri wa pasi wanapokuwa dimbani
In discussion? Ronaldo walks out to Portugal training with his Real Madrid team-mate Pepe (right)Katika majadiliano? Ronaldo akitembea kutokea mazoezi ya timu ya Taifa ya Ureno akiwa na mchezaji mwenzake wa Real Madrid Pepe (kulia)
Admirer: Real Madrid attacking midfielder Isco rated Ozil highlyAnamkubali: Kiungo mshambuliaji wa  Real Madrid,  Isco anamkubali sana Ozil 
In action: But new Arsenal signing Mesut Ozil is the 'last player' Sergio Ramos would have sold from RealAkiwa kazini: Lakini kwasasa Ozil yuko Arsenal na kuondoka kwake kumewahuzunisha wachezaji nyota wa Real Madrid

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog