Skip to main content

OZIL AWACHANGANYA WACHEZAJI MADRID, RONALDO AONGOZA MGOMO KWA KUMPOTEZA MJERUMANI FUNDI!

MCHEZAJI ghali zaidi Duniani, Gareth Bale hajagusa hata nyasi za Bernabeu baada ya kuvunja rekodi ya Dunia ya usajili kwa dau la pauni milioni 86, lakini shida zimeshaanza katika chumba cha kubadilishia nguo katika klabu ya Real Madrid.
Thamani ya Mesut Ozil kwa wachezaji wenzake wa Real Madrid ilionekana jumatano jana wakati wachezaji walikuwa wanapiga kelele za kumkubali huku wakisema  haina shida Bale atarithi mikoba yake.
Kwa upande wa nyota wa Ureno na klabu hiyo, Cristiano Ronaldo amenyong`onyea baada ya kumpoteza Ozil, wakati huo huo nao  Alvaro Arbeloa, Isco na hata nyota wa wapinzani wao, FC Barcelona, Cesc Fabregas wamekerwa na kitendo cha Mjerumani huyo mwenye kipaji cha juu kuondoka ligi ya Hispania.
Angry: Cristiano Ronaldo has reportedly complained to Portugal team-mates about Mesut Ozil's saleHasira: Cristiano Ronaldo ameripotiwa akilaumu mbele ya wanandinga wenzake wa timu ya taifa ya Ureno kuwa amechukizwa na kuuzwa kwa Mesut Ozil
Running the show: Ronaldo, training with Portugal, believes Ozil can always find him with a passAkiongoza mazoezi: Ronaldo, akifanya mazoezi na timu ya taifa ya Ureno, na ana amini Ozil alikuwa mpikaji mzuri wa pasi wanapokuwa dimbani
In discussion? Ronaldo walks out to Portugal training with his Real Madrid team-mate Pepe (right)Katika majadiliano? Ronaldo akitembea kutokea mazoezi ya timu ya Taifa ya Ureno akiwa na mchezaji mwenzake wa Real Madrid Pepe (kulia)
Admirer: Real Madrid attacking midfielder Isco rated Ozil highlyAnamkubali: Kiungo mshambuliaji wa  Real Madrid,  Isco anamkubali sana Ozil 
In action: But new Arsenal signing Mesut Ozil is the 'last player' Sergio Ramos would have sold from RealAkiwa kazini: Lakini kwasasa Ozil yuko Arsenal na kuondoka kwake kumewahuzunisha wachezaji nyota wa Real Madrid

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...