Skip to main content

Sean Kingstone ashitakiwa kwa kumbaka mtungo msichana mwenye miaka 20

Sean Kingston na walinzi wake (Bodyguard) wamemla mtungo msichana (20) aliekuwa amelewa, katika chumba cha Hoteli, 2010.

Carissa Capeloto  ambae kwa sasa ana miaka 22,  anadai  kulazimishwa kufanya ngono na Sean, walinzi wake na member wa bendi ya Sean katika hoteli iliyoko Seattle, Julai, 2010, baada ya yeye kuvuta bangi na kufuta shots 7-10 za vodka.
Capeloto - ambaye amewashitaki watu wote 3, anadai alialikwa katika chumba cha hoteli hiyo na Kingston kwa kukutana-na-kusalimiana (meet and greet) kufuatia tamasha la Bieber, ambapo Kingston pia alikuwa aki- perform, lakini wakati alipofika chumbani, Kingstone alikuwa ameshatupa kule kila kilichokuwa mwilini mwake (naked) yuko juu ya kitanda akimsubiri
Capeloto amedai kuwa mlinzi alimnyanyua na kumuweka juu ya Kingston, na wote watatu waliendelea  kumbaka wakati yeye alikuwa "ni wazi amelewa, na kutokuwa na uwezo wa kutoa ridhaa."
Capeloto anasema rafiki yake baadaye aliingia katika chumba na kumuokoa. Polisi waliitwa na Capeloto alipelekwa hospitali ambapo anasema yeye alikuwa akitibiwa kwa majeraha ya kimwili sambamba na ubakwaji.
Anasema maisha yake yameharibiwa, halali vizuri usiku, ana mood swings na anadai fidia ya dola mil 5 kima cha chini.
Kingstone amepeleka documents za kisheria zinazodai kuwa ngono waliofanya ilikuwa ni makubaliano kwa asilimia 100.
Kesi inatarajiwa kusikilizwa mwezi wa 9

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...