Skip to main content

Tazama picha ya Wazazi wa Dogo Janja walivyotua Bongo na Kuongea na Ostaz Juma Baada ya Kusikia Fununu za Mtoto wao Kutaka Kurudi Tip Top

Wazazi wa Dogo Janja aka Janjaro, wamekuja Dar es salaam wiki hii kuangalia maendeleo ya mtoto wao baada ya kusikia tetesi kuwa anarudi Tip Tipo Connection na kuhisi Watanashati wameshindwa kumsimania.
Ostaz Juma kushoto,Wazazi wa Dogo Janja katikati na Dogo Janja wamwisho.
Ostaz Juma kushoto,wazazi wa Dogo Janja katikati na Dogo Janja wa mwisho

Wakiongea na Bongo5 jana wakiwa katika Hotel ya Atrium, Sinza jijini Dar es salaam, Baba wa Dogo Janja, Mzee Chende alisema waliamua kusafiri kutoka Arusha mpaka Dar ili kukutana na mmiliki wa Watanashati Ostaz Juma, ili wajue kimetokea nini kwa mtoto wao.
Wazazi wa msanii Dogo Janja. (2)
Wazazi wa Dogo Janja

“Tuna week moja, mimi na mke wangu tumetoka Arusha kukutana Ostaz Juma ili tujue nini kilitokea baada ya kusikia Dogo Janja anataka kururi Tip Top, sasa tumekuna na Ostaz Juma tumeongea tumekuta mtoto wetu hana tatizo lolote na yupo salama kwa Watanashati na tumejua yalikuwa mambo ya kuzusha tu,” alisema baba yake na Janjaro.
Kwa upande wake mmiliki wa kampuni ya Watanashati Entertainment, Ostaz Juma na Musoma alisema ni kweli wazazi wa msanii huyo waliingiwa na wasiwasi baada ya kusikia rapper huyp anataka kurudi Tip Tip kwa kujua Watanashati imemtelekeza.
Ostaz Juma na Dogo Janja.
Ostaz Juma na Dogo Janja

“Ingawa mawasiliano ya simu yalikuwepo lakini walitaka kuja tukae pamoja wote ili tuongee. Sisi kama Watanashati tulikaa nakuamua tuwaite wazazi wa Dogo Janja tukae nao ili tuzungumze na kweli tumefanikiwa kuwaleta tumeongea nao na hakuna tatizo na tumepiga nao picha za ukumbusho,” alisema Ostaz.
Dogo Janja alisema amefurahishwa na kitendo cha wazazi wake kuja ili kujua maendeleo yake huku akiwaahidi wazazi wake kuwatembeza sehemu mbalimbali za jiji la Dar es salaam ili ‘waielewe mitaa’ (Kwa sauti ya Fid Q).
Ostaz Juma kushoto,Wazazi wa Dogo Janja katikati na Dogo Janja wamwisho.

Ostaz Juma kushoto,Wazazi wa Dogo Janja katikati na Dogo Janja wa mwisho

IMG_0205

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog