Skip to main content

TIZAMA PICHA NA MATUKIO MBALIMBALI YA WAZIRI MKUU MHE. MIZENGO PINDA AKIWA ZIARANI KARATU

IMG_0052Mke wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda akizungumza katika Mkutano uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda katika uzinduzi  wa Maktaba ya Shule ya Sekondari ya Banjika wilayani Karatu Septemba 20, 2013.  Katikati ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Mendeleo ya makzi, Profesa Anna Tibaijuka. (Picha naOfisi ya Waziri Mkuu) IMG_0105 1Waziri Mkuu, Mizengo Pinda na Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo yaMkazi, Profesa Anna Tibaijuka  wakitembelea maktaba yaShule ya Sekondari ya Banjika  ya wilayani Karatu ambayo ilizinduliwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, Septemba 20, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0136Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe la Msingi la Tangi la Maji  katika Kijiji cha Gykrum Arusha wilayni Karatu Septemba 20, 2013. Wapili kushoto ni mkewe Tunu na kushoto ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya  Makazi, Profesa Anna Tibaijuka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0164Waziri Mkuu, Mizengo Pinda  na Mkewe Tunu  (kushoto) wakipata maelezo  Kutoka kwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji  Safi na Maji Taka wa Arusha, Bibi Ruth kuhusu  ujunzi wa tangi la Maji katika kijiji cha Gykrum Arusha wilayani Karatu baada ya kuweka jiwe la Msingi la mradi huo Septemba20, 2013.   Kushoto kwa Waziri Mkuu, ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa, Anna Tibaijuka. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0177Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama uchimbaji wa kisima kirefu cha maji  unaofanywa na wakala serikali wa Uchimbaji visima katika eneo la Bwawani wilayani Karatu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu) IMG_0194Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasalimia wananchi wa  Mbulumbulu baada ya   kuzindua  Kituo cha Afya cha Kambi ya Simba wilayani Karatu Septemba 20, 2013. Kulia ni mkewe Tunu na kulia kwake ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Profesa Anna Tibaijuka(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
IMG_0249Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na wanakwaya wa Shule ya Sekondari ya Awet wilayani Karatu baada ya kuwahutubia wananchi katika mkutano  uliofanyika shuleni hapo Septemba 20, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)  Baadhi ya wananchi wa Karatu waliohudhuria mkutano wa hadhara  uliohutubiwa na Waziri Mkuu,Mizengo Pinda  mjini Karatu wakimsikiliza Waziri Mkuu, wakati alipowahutubia Septemba 20, 2013. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog