Skip to main content

Yanga, Simba; Ama zao ama zetu

  

 Kikosi cha timu ya Mbeya City mara baada ya kupanda daraja, leo timu hiyo inapambana na Yanga jijini Mbey

SAHAU Manchester United dhidi ya Crystal Palace au Arsenal vs Sunderland. Shughuli ipo Dar es Salaam na Mbeya leo Jumamosi, unaijua?
Simba na Yanga zimetamba kila mmoja kwa kudai ama zao ama zetu, lakini mambo yote yatakuwa hadharani leo Jumamosi.
Vinara wa Ligi Kuu Bara, Yanga kwa mara ya kwanza tangu kuanza kwa msimu mpya wa ligi inatoka nje ya Dar es Salaam na Simba kwa mara ya kwanza inarudi katika jiji lenye Bahari ya Hindi.
Yanga, wanacheza na timu mpya yenye hamasa kubwa ya mashabiki mjini Mbeya ya Mbeya City kwenye uwanja chakavu wa Sokoine huku Simba ikiwa Dar es Salaam kucheza na timu king’ang’anizi ya Mtibwa Sugar katika uwanja wenye kapeti.
Ingawa Yanga ilikuwa ikifanya mazoezi kwenye uwanja chakavu wa Shule ya Sekondari Loyola, Dar es Salaam, Kocha wake Ernest Brandts alisema: “Nimeuona Uwanja (Sokoine), si mzuri kabisa, sijui mechi yetu itakuwaje.”
Mbali na hilo pia alisema wachezaji wake wana uchovu wa safari, lakini atamkosa kiungo wake mahiri Mnyarwanda Haruna Niyonzima ‘Fabregas’ ambaye hajajiunga na timu tangu alipokwenda kwao Rwanda kuchezea timu ya Taifa.
Brandts alisema: “Nasikitika kumkosa mchezaji muhimu kama Niyonzima pamoja na Hamis Kiiza ingawa wachezaji wengine kama, Ngassa (Mrisho amefiwa na bibi yake) na Lusajo (Realintus yupo chuo) hatupo nao kwenye safari hii ya hapa Mbeya.”
Kwa upande wa Mbeya City, kocha wa timu hiyo, Juma Mwambusi alisema: “Mpira ni dakika 90, timu yetu ni changa na Yanga ni wakongwe, nawaheshimu kwa hilo. Kama kocha nimejipanga kwa upande wangu kuona tunafanya vizuri katika mechi hii.”
SIMBA VS MTIBWA
Simba ambayo ilijificha Bamba Beach, Kigamboni, Dar es Salaam, inacheza na Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Taifa.
Mtibwa iliifunga Simba nyumbani na ugenini kwenye mechi za ligi msimu uliopita na wameapa kurudia hilo msimu huu jambo ambalo limeongeza msisimko wa mchezo huo.
Wekundu wa Msimbazi wana mseto wa chipukizi kama, Ramadhani Singano ‘Messi’, Twaha Ibrahim ‘Messi’, William Lucian ‘Gallas’ na Adam Miraji watakaosaidiwa na wazoefu kama, Abdulhalim Humoud ‘Gaucho’, Amri Kiemba, Said Nassor ‘Cholo’ na Henry Joseph anayecheza mechi hiyo kwa mara ya kwanza baada ya misimu mitatu alipokuwa Kongsvinger ya Norway.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog