Skip to main content

ASASI YA IRAWS – T KUSAIDIANA NA SERIKALI KUPUNGUZA MSONGAMANO WA WAFUNGWA MAGEREZANI

m1Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya IRaWs – T, Naibu Kamishna wa Magereza Mstaafu, Dkt. Salum Chambuso akifafanua jambo wakati wa Mafunzo Maalum ya namna ya kupambana na Changamoto ya Msongamano wa Wafungwa na Mahabusu Magerezani. Mafunzo hayo yametolewa na Asasi hiyo Oktoba 11, 2013 katika Ukumbi wa Makao Makuu ya Jeshi la Magereza.m2Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza Nchini, John Casmir Minja akifuatilia kwa makini Mada Maalum iliyowasilishwa na Katibu Mtendaji wa Asasi ya Kiraia ya IRaWs – T inayojishughulisha na Urekebishaji wa Wafungwa, Naibu Kamishna wa Magereza Mstaafu, John Nyoka( hayupo pichani) leo Oktoba 11, 2013 katika Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Jeshi la Magereza, Dar es Salaam.m4Baadhi ya Washiriki wa Mafunzo ya namna ya kukabiliana na Msongamano wa Wafungwa na Mahabusu Magerezani wakifuatilia mjadala(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).m3Mwenyekiti wa Asasi ya IRaWs – T, Kamishna Mkuu Mstaafu wa Magereza, Onel Malisa akichangia hoja katika Mafunzo hayo katika Ukumbi wa Mikutano wa Makao Makuu ya Magereza, Dar es Salaam.
………………………………………………………………………….
Taasisi ijulikanayo kwa jina la “Inmate Rehabilitation and Welfare Services Tanzania” (IRaWs – T)     ya Jijini Dar es Salaam imetoa Mafunzo Maalum kwa Maafisa Waandamizi wa Jeshi la Magereza juu ya namna ya kushirikiana katika kukabiliana na Msongamano wa Wafungwa na Mahabusu Magerezani.
Akiongea katika Mafunzo hayo Mwenyekiti wa Asasi hiyo, Kamishna Mkuu Mstaafu wa Jeshi la Magereza, Onel Malisa ameyataja majukumu mkubwa ya Asasi hiyo kuwa ni kushirikisha Vyombo vya Haki Jinai ambavyo ni Mahakama, Polisi, Magereza pamoja na Ofisi ya Mwendesha Mashitaka Nchini katika kupata namna bora ya kupunguza Msongamano wa Wafungwa na Mahabusu Magerezani.
Naye Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini, John Casmir Minja amesema kuwa Jeshi la Magereza lipo katika Maandalizi ya kuwa na Mtaala Bora utakaowafanya Maafisa wa Jeshi hilo kuweza kukubalika Kimataifa katika Huduma za Urekebishaji.
Aidha, amesema kuwa anajivunia kuwa na ushirikiano mzuri na Maafisa Waandamizi Wastaafu wa Jeshi la Magereza katika kukamilisha jukumu la Urekebishaji wa Wafungwa Magerezani.
Asasi hiyo kwa sehemu kubwa inaundwa na Maafisa Waandamizi  Wastaafu wa Jeshi la Magereza wakiwemo Makamishna Wakuu ambao wamedhamilia kutoa uzoefu wao wa Uendeshaji wa Magereza wa ndani  na nje kwa Serikali kupitia Vyombo vya Haki Jinai likiwemo Jeshi la Magereza.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog