Skip to main content

Baby Madaha afanya mazito Kenya, jionee hapa! Hatari Sana!

Baby Madaha afanya mazito Kenya, jionee hapa! Hatari Sana!


Baby Madaha afanya mazito Kenya, jionee hapa! Hatari Sana! 1


Baby Madaha afanya mazito Kenya, jionee hapa! Hatari Sana! 3


Baby Madaha afanya mazito Kenya, jionee hapa! Hatari Sana! 2






Mwanadada aliyerudi kwa kasi kwenye gemu la muziki nchini na kuachia ngoma zake mbili kali sana mwaka huu “Squeeze it” na “Summer Holiday”, Baby madaha, ameendelea kudhihirisha kuwa mwaka huu kajipanga Zaidi kusaka hela baada ya hivi karibuni kuachia Perfume na Mifuko yenye jina lake (Brand) huko nchini Kenya.
Akizungumza kwa simu tokea nchini humo ambako yupo akijiindaa kufanya tour yake ya kwanza baada ya kupata Mkataba na Kampuni ya Candy n Candy records ya nchini humo, Baby Madaha amsema perfume hizo zimeshaanza kuuzwa na kupatikana katika mitaa na maeneo mbalimbali ya nchi hiyo na amesema kuwa mzigo wa pili utatua Tanzania hivi karibuni.
“Nimeona  bora nianze na Kenya kwanza kwasababu nimegundua kuwa huku nina mashabiki wengi sana Zaidi hata ya bongo, hata siamini kinachotokea” Alisema baby Madaha.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...