Skip to main content

Everton, Liverpool zitatesa msimu huu?



LONDON, ENGLAND
KUNA mabadiliko makubwa katika klabu za Mashariki ya England  katika misimu miwili iliyopita. Klabu nne kubwa za majiji ya Liverpool na Manchester, zote zimebadilisha makocha katika kipindi cha miezi 15 iliyopita.
Brendan Rodgers amekabidhiwa jukumu Liverpool, Roberto Martinez ametua Everton, huku David Moyes akienda Manchester United na Manuel Pellegrini yuko Manchester City. Wote wapo katika kipindi cha awali cha kuzoea maisha katika klabu hizo mpya.
Tayari mwanzo wa msimu huu katika mbio za ubingwa, kumeanza kuonyesha mabadiliko kwa upande wa matokeo. England imeanza kushuhudia kuzaliwa upya kwa klabu za Jiji la Liverpool na kuondoka kwa utawala wa klabu za Manchester.
Rodgers na Liverpool
Rodgers aliwasili Liverpool akitokea Swansea City msimu uliopita. Ameifanya Liverpool kuwa timu inayocheza pasi nyingi na kukaa zaidi na mpira.
Mpango wake unaonekana umefanya kazi nzuri hasa katika nusu ya pili ya msimu uliopita na mwanzoni mwa msimu huu.
Kuhusu ubora wa kikosi chake si tatizo, lakini swali lililobaki ni jinsi gani Rodgers ataifanya Liverpool kucheza Ligi ya Mabingwa Ulaya mwakani?
Msimu huu ameanza kwa kishindo na sasa anakamata nafasi ya pili kwenye Ligi Kuu. Kama Liverpool itamaliza katika nne bora msimu huu, Rodgers atakuwa amewajibu kwa vitendo waliokuwa wakimbeza.
Martinez na Everton
Ndiyo kwanza ameanza kazi yake na kufanikiwa kusajili wachezaji wachache katika siku ya mwisho ya usajili, hivyo ni mapema kuanza kumhukumu Martinez.
Everton inaonekana inacheza soka la kasi na kutengeneza nafasi nyingi zaidi baada ya kuwa chini yake.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog