Skip to main content

Hivi ndivyo ilivyokuwa katika Safari ya Mwisho ya Mazishi ya Mama yake ufoo Saro Machame

Mtoto wa mwandishi na mtangazaji wa kituo cha ITV,Ufoo Saro,Alvis Anthery akitoa heshima za mwisho mbele ya jeneza la marehemu Bibi yake Anastazia Saro aliyezuikwa jana katika makaburi ya kanisa la Urara wilayani Hai.
Umati wa waombolezaji waliojitikeza katika kuaga mwili wa marehemu Anastazia Saro aliyezikwa katika makaburi ya kanisa la Urara wilayani Hai.
Msemaji wa familia ya Saro,Allelio Swai akitoa maelezo ya familia wakati wa ibada ya kumuombea marehemu Anastazia Saro.
Jeneza lililobeba mwili wa marehemu Anastazia Saro likiwekwa kaburini.
Mkuu wa jimbo la Hai,Aminirabi Swai akiongoza ibada ya maziko katika makaburi ya kanisa hilo na kisha kuweka shada la maua katika kaburi la marehemu Anastazia Saro.
mwakilishi wa serikali katika maziko ya marehemu Anastazia Saro ,mkuu wa wilaya ya Hai Novatus Makunga akiweka shada la Maua katika kaburi.
Mtoto Alvis Anthery akiweka shada la maua katika kaburi la Bibi yake marehemu Anastazia Saro.(picha na Dixon Busagaga)

Na Dixon Busagaga waglobu ya jamii Moshi

VILIO,simanzi na hali ya huzuni jana vimetawala kwa mamia ya wakazi wa kijiji cha Shari, Machame wilayani Hai waliojitokeza kuuaga mwili wa marehemu ,Anastazia Saro (56),mama mzazi wa Mwanadishi na Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV,Ufoo Saro.

Wakazi hao wakiwemo wale waliotoka maeneo mbalimbali ya miji ya Moshi,Arusha na Dar es Salaam baadhi yao walionekana wakiangua vilio huku wengine wakipoteza fahamu muda mfupi baada ya jeneza lililobeba mwili wa marehemu kuingizwa kanisani.

Hali ilikuwa ya Simanzi zaidi wakati wa kutoa heshima za mwisho kwa waombolezaji wakipita mbele ya jeneza ambapo ililazimika kuwepo na watu maalumu ambao walikuwa na jukumu la kutoa huduma ya kwanza kwa baadhi ya ndugu walioshindwa kujuzuia.

Hali kama hiyo ili rejea kwa mara nyingine tena pale msemaji wa familia Allelio Swai akitoa maelezo ya namna marehemu alivyo uawa na hali aliyokutwa nayo mara baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari.

Akitoa maelezo ya wasifu wa marehemu aliyefanyiwa ibada ya mazishi katika Kanisa la Urara lililopo chini ya Jimbo la Hai la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT),Swai alisema marehemu Anastazia Saro alifikwa na mauti hayo baada ya kupigwa risasi na mkwewe Anthery Mushi ambaye alikwenda nyumbani kwa mama huyo eneo la Kibamba CCM,nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam.

Alisema taarifa ya madaktari katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), inaonyesha,Anastazia Saro alifariki dunia baada ya kushambuliwa kwa risasi tano katika mwili wake.

Swai aliomba kufanyika maombi kwa ajili ya Ufoo aliyelazwa katika hosptali ya Muhimbili ambako anapatiwa matibabu baada ya kufanyiwa upasuaji mkubwa hali iliyolazimu madaktari kumpa muda mrefu wa mapumziko.

“ Ufoo taarifa ya madaktari inaonesha alichanika utumbo mkubwa na kiasi utumbo mdogo,lakini tunashukuru hali ya Ufoo inaendelea kuimarika ,lakini maombi yenu yanahitajika ili aweze kurejea katika hali yake ya zamani ,na aweze kulitumikia taifa kwa kuhabarisha “alisema Swai.

Kwa upande wake,baba mdogo wa Ufoo Saro, mzee Eshikaeli Saro, akizungumza katika ibada ya mazishi kanisani hapo,alisema familia na kanisa imepoteza mtu aliyekuwa kiungo muhimu kati ya jamii na kanisa.

“Mama alikuwa ndiye mpambaji wa madhabahu ya kanisa ,na alihakikisha kanisa linakuwa katika hali ya usafi kabla ya ibada na hata pale wanakwaya walipokuwa na mazoezi ya kutwa hapa kanisani alihakikisha wanapata chakula”alisema Saro.

Alitoa shukrani kwa Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Dk.Regnald Mengi,mkurugenzi mtendaji wa ITV na Redio One, Joyce Mhavile pamoja na wafanyakazi wote wa makampuni hayo kwa kuifanya familia hiyo iweze kumfikisha marehemu Machame na kuzikwa.

Marehemu Anastazia Saro, aliuawa baada ya mkwewe kufika nyumbani kwake Kibamba CCM akiwa na mzazi mwenzie Ufoo kwa lengo la kusuluhishwa kile kinachodaiwa ni ugomvi uliokuwa ukifukuta kati ya wawili hao.

Tukio hilo lilitokea alfajiri ya Jumapili ya Oktoba 13 mwaka huu, huku mwanae Ufoo Saro ambaye ni Mwandishi na Mtangazaji wa ITV, akijeruhiwa vibaya kwa risasi mbili baada ya kutokea ugomvi kati yakena mzazi mwenzie Anthery Mushi ambaye hata hivyo na yeye alijiua kwa kujipiga risasi baada ya tukio hilo.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog