Skip to main content

HIVI NDIVYO ILIVYOKUWA WAKATI WA VURUGU ZA MBAGALA LEO

Askari kanzu katika jitihada za kuwatawanya waandamanaji.
Mojawapo ya matairi yaliyochomwa na wananchi.
Waananchi wakiandamana wakati wa vurugu hizo.
Askari polisi wakiwa eneo la tukio.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Temeke, Engelbert Kiondo (wa tatu kulia) akiwa katika eneo la tukio.
Kamanda Engelbert Kiondo (wa pili kulia) akipokea maelekezo kutoka kwa mwenyekiti wa serikali ya mtaa wa Kizuiani, Mashaka Selemani (wa kwanza kushoto).
Kamanda Kiondo akitoa maelekezo kwa baadhi ya askari wake.
Wananchi wakiwa eneo alipogongwa mwanafunzi.
Kikosi cha polisi jamii kikiwa eneo hilo.OCD wa Mbagala, Jonathan Shanna akiwasiliana na kikosi chake.
LEO asubuhi majira ya saa nne na nusu kumetokea vurugu kali za wananchi eneo la Mbagala Kizuiani jijini Dar es Salaam.
Vurugu hizo zilitokea baada ya mwanafunzi mmoja kupoteza maisha kwa kugongwa na lori lenye namba za usajili  T 632 BVY. Baada ya ajali hiyo, wananchi walifunga barabara kwa mawe na kuchoma matairi wakizuia magari kupita katika barabara ya Kilwa jambo lililopelekea polisi kuingilia kati. Ili kutuliza vurugu hizo kutoka kwa wananchi waliokuwa wanadai kuchoshwa na ajali zinazotokea mara kwa mara eneo hilo, polidi walilazimika kutumia mabomu ya machozi pamoja na kupiga risasi hewani katika kuwatawanya wananchi.



(Picha na Makongoro Oging’ / GLP)

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog