Skip to main content

HUU NDIO USHAIDI UNAONYESHA KUWA WEMA NA DIAMOND WARUDIANA

Na Waandishi Wetu
LICHA ya wenyewe kukanusha kwamba hawajarudiana, ushahidi kwamba masupastaa wa Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Wema Sepetu ni wapenzi tena umeanikwa, Risasi Jumamosi linao.
Kwa sasa Wema yuko nchini China akivinjari, lakini habari zisizo na hata chembe ya shaka, zinasema Diamond naye ametua huko na kuungana na mchumba wake huyo wa zamani.
WAONEKANA MITAANI
Picha za mnato za wawili hao wakiwa kwenye mitaa mbalimbali jijini Beijing, China zimenaswa na kusambazwa kwenye mitandao makini hasa baada ya Diamond hivi karibuni kukanusha kupitia redio moja kwamba hajarudiana na Wema.
Ndani ya picha hizo, Diamond anambusu Wema kila wakati bila kujali macho ya Wachina ambao kwao hawana mapenzi ya hadharani kama wazungu.
WAONEKANA CHUMBANI
Picha nyingine zinawaonesha wawili hao wakiwa chumbani katika mavazi ya kulalia huku wameshika simu kwa ajili ya kujipiga picha, kama kawa Diamond anambusu mlimbwende huyo huku naye akionekana kukolea.
USHAHIDI KWA PENNY
Katika Gazeti la Amani la Oktoba 3, 2013 ukurasa wa mbele kulikuwa na habari yenye kichwa; Habari ya mjini…WEMA,
DIAMOND WARUDIANA!
Miongoni mwa watu walioongea na gazeti hilo kuhusu kurudiana kwa wawili hao ni mchumba wa sasa wa Diamond, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ambapo alikiri kusikia Wema na Diamond kurudiana lakini akasema hawezi kukubali hadi aone picha. Picha ndiyo hizo ukurasa wa kwanza. Baadhi ya watu wanaotoa maoni yao mtandaoni, wanamcheka!
ANACHODAI DIAMOND
Kwa upande wake Diamond alipoulizwa na mapaparazi wetu kuhusu kurudiana na Wema na kwamba wapo wote China wakila bata, alikataa akidai yupo Nigeria kikazi zaidi.
Akadokezwa: Kama upo Nigeria mbona kuna picha unaonekana umepiga ukiwa na Wema?
Akashtuka: He! Hebu n’tumie picha moja niione.
Alipotumiwa picha moja akacheka kidogo kisha akasema: Hii ni filamu bwana. Mimi sijarudiana na huyo demu (Wema).
KUMBUKUMBU MUHIMU
Baada ya kuachana siku za nyuma, Wema na Diamond waliwahi kudaiwa kwamba wamerudiana na wakahojiwa katika kipindi cha You Heard cha Redio Clouds FM ambapo wote walikanusha kurudiana. Halafu Wema akaulizwa: Lakini si bado unampenda Diamond?
Majibu yake: Siwezi kumpenda Diamond wewe.
MASWALI YA MSINGI
Diamond aliwahi kumrekodi Wema akijibembeleza kwake warudiane, akaipeleka sauti hiyo redioni na ikasikilizwa na raia. Kwa Wema ule ulikuwa udhalishwaji mkubwa. Je, ni kweli anaweza kumkubalia msanii huyo washuti filamu pamoja?
Diamond anajua Penny ameambiwa wao wamerudiana, alipoulizwa na Penny alimjibu achana na maneno ya watu. Je, Penny anaweza kumruhusu Diamond acheze filamu na Wema?
Kama ni filamu, Diamond hana vifaa vya kushutia wala kampuni ya filamu, Wema ana kampuni kubwa yenye vifaa vyote, kwanini ‘makamera-mani’ wake wote wabaki Dar, huko China wamekodi vifaa? Na kameramani je, pia wamemkodi? Haiingii akilini.



UKWELI UTABAKI PALEPALE
Katika yote, ukweli unabaki palepale kwamba, wawili hao kwa sasa ni mapenzi motomoto. Chanzo kimoja cha karibu yao huko China kimeliambia Risasi Jumamosi kwamba, wawili hao wanatanua kama wako fungate, tena wanalala na kuamka!

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...