Skip to main content

Kibadeni amtimua Henry Joseph


Henry Joseph

IUNGO wa Simba, Henry Joseph, ameondolewa katika kambi ya Simba huku Ramadhan Chombo ‘Redondo’ akirudishwa kikosi cha pili.
Habari za uhakika ambazo Mwanaspoti imezipata, zinasema Henry ambaye amesajiliwa na Simba msimu huu huku akilipwa mshahara wa Sh1.5 milioni, alikorofishana na kocha wake, Abdallah Kibadeni, Jumatatu wiki hii katika mazoezi ya asubuhi yaliyofanyika katika  Uwanja wa Kinesi, Dar es Salaam.
Henry anayemudu kucheza nafasi ya ulinzi na kiungo, alirudi nchini mwaka huu akitokea klabu ya Kongsvinger ya Norway iliyoshuka daraja.  Kurejea kwake kumetokana na kukataa mkataba mpya wa klabu hiyo wenye pesa kiduchu baada ya timu kuyumba kiuchumi.
Jumatatu wiki hii, wakati Simba ikiwa katika mazoezi ya asubuhi kabla ya kuondoka jioni yake kwenda kambini Bamba Beach, Henry alifanya mazoezi ya kukimbia pekee yake na baadaye wachezaji wote walipofika uwanjani Kibadeni aliwataka wakimbie kwa pamoja, lakini Henry inadaiwa aligoma kwa madai kuwa alikuwa tayari ameshafanya mazoezi ya peke yake.
Hata hivyo, Henry alipozungumza na Mwanaspoti jana Jumatano, alikanusha vikali madai hayo na kusema kuwa hawezi kufanya kitendo kama hicho maishani mwake kwani anaheshimu wajibu wake.
“Sijawahi kufanya utovu wa nidhamu kwa kocha. Nilifika pale saa 11 alfajiri, nilikuwa wa kwanza. Nikafanya mazoezi ya kukimbia pekee yangu ili kujiweka fiti kwa sababu muda mwingi nilikuwa majeruhi. Baadaye wenzangu walipofika nikajumuika nao, lakini Julio (Jamhuri Kihwelu) akaniambia nipumzike kwani nimechoka,” alisema Henry.
Alisema alivyoambiwa hivyo alimfuata Kibadeni kumwambia kuwa ameambiwa na Julio apumzike na baada ya hapo akawa amekaa nje ya uwanja huku wenzake wakiendelea na mazoezi.
“Nilishangaa wakati Kibadeni anatangaza kikosi cha kuingia kambini Bamba Beach, alisema sitakwenda na timu, badala yake nikafanye mazoezi ninayoyajua mimi na kwamba akinihitaji ataniita,” alisema Henry.
Alisema anamheshimu kila mtu na kwamba katika maisha yake amejitahidi kufuata misingi na nidhamu ya soka na ndio maana bado haelewi kisa kilichotokea mpaka Kibadeni kuamua kumuacha.
Henry alisema ili kujiweka fiti, ameendelea kufanya mazoezi asubuhi na jioni na wakati mwingine amekuwa akienda gym, lakini kwa sasa hayupo katika mazoezi ya Simba.
Mwanaspoti ilimtafuta Kibadeni kuzungumzia hilo na alilisukuma suala hilo kwa Kocha Msaidizi, Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ ambaye majibu yake hayakuwa ya moja kwa moja, lakini yalitosha kuthibitisha.
Julio alisema kila mchezaji anatakiwa kuwa na nidhamu na kujituma katika mazoezi na kwenye mechi na asiyefanya hivyo hurudishwa kikosi cha pili.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog