Skip to main content

MAMA KIKWETE AKIZINDUA MRADI WA MAFUNZO YA GESI NA MAFUTA YA PETROLI VETA LINDI

picha no. 1Mke wa Rais Mama Salma Kikwete  (aliyevaa kitenge)akiwapungia mkono  wanafuzi wa  Chuo cha  Mafunzo ya Elimu ya Ufundi  Stadi(VETA) , Lindi kabla ya kuzindua mradi wa mafunzo ya gesi na mafuta ya Petroli jana mkoani Lindi.Kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Mhandisi Zebadiah  Moshi na  wa pili Kushoto  ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Ludovick   Mwananzila na kushoto wa kwanza ni Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Dk. Nassoro  Hamidi.(Picha zote na Magreth Kinabo- Maelezo).picha no. 2Mke wa Rais Mama Salma Kikwete  (aliyevaa kitenge) akipata maelekezo kutoka kwa mwanafunzi wa Chuo cha  Mafunzo ya Elimu ya Ufundi  Stadi (VETA), Edwin  Nduguru(kushoto) jinsi deep stick inavyofanya kazi ya kupima kiwango cha oil kilichopo katika injini ya gari alipotembelea karakana ya ufundi wa magari wa chuo hicho jana. Wanaoshuhudia tukio hilo ni  Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Mhandisi Zebadiah  Moshi (kulia) , Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Ludovick   Mwananzila (katikati) na Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Dk. Nassoro  Hamidi (kushoto).picha no. 3JPGMke  wa Rais Mama Salma Kikwete  (aliyevaa kitenge ) akiongea jambo  na  Meneja wa  British  Gesi Tanzania ambao ndiyo wafadhili  wa mradi wa mafunzo ya gesi na mafuta ya Petroli, Kate Sullam (kushoto) jana  kwenye   Chuo cha  Mafunzo ya Elimu ya Ufundi  Stadi(VETA) , Lindi .Kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Mhandisi Zebadiah  Moshi .picha no. 4Mke wa Rais  Mama Salma Kikwete  akitoa hotuba yake kabla ya kuzindua mradi wa mafunzo ya gesi na mafuta ya Petroli jana  kwenye Chuo cha  Mafunzo ya Elimu ya Ufundi  Stadi(VETA)  Lindi . Kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa VETA, Mhandisi Zebadiah  Moshi na Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Ludovick   Mwananzila.picha no. 5Mke wa Rais  Mama Salma Kikwete  akikata utepe  ikiwa ni ishara kuzindua mradi wa mafunzo ya gesi na mafuta ya Petroli jana  kwenye Chuo cha  Mafunzo ya Elimu ya Ufundi  Stadi(VETA)  Lindi . Kulia ni  Mkurugenzi Mkuu wa VETA,  Mhandisi Zebadiah  Moshi na Kushoto wa tatu  ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Ludovick   Mwananzila, kushoto ni Afisa Uhusiano wa chuo hicho Dora Tesha.picha no. 6Mke wa Rais Mama Salma Kikwete  (aliyevaa kitenge)akiwa  katika picha ya pamoja  na baadhi ya viongozi   na wanafunzi  wa  Chuo cha  Mafunzo ya Elimu ya Ufundi  Stadi(VETA), Lindi  mara baada ya kuzindua mradi wa mafunzo ya gesi na mafuta ya petroli.picha no. 7Mwanafunzi wa  wa  Chuo cha  Mafunzo ya  Elimu ya Ufundi  Stadi(VETA), Lindi akimwonesha    Mke wa Rais Mama Salma Kikwete  (aliyevaa kitenge)  jana  kifaa cha kukata vyuma   katika karakana ya uungaji  vyuma.picha no. 8Mwanafunzi wa  wa  Chuo cha  Mafunzo ya  Elimu ya Ufundi  Stadi (VETA), Lindi akimwonesha    Mke wa Rais Mama Salma Kikwete  (aliyevaa kitenge)  jana  kifaa cha  ufundi wa magari katika karakana ya ufundi wa magari.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog