Skip to main content

HAYA NDIO MAMBO MUHIMU AMBAYO MWANAMKE HUITAJI KUTOKA KWA MUWEME

NI matumaini yangu kuwa umzima na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku kama kawaida. Wiki iliyopita utakumbuka niliishia kuzungumzia suala la busara. Nikasema mwanamke anaweza kuwa chanzo cha furaha kwa mumewe endapo atatumia busara kwa kiwango kinachotakiwa.

Kwa kifupi wanaume wanahitaji sana busara ya mwanamke na kama mwanamke ukiweza kuwa na busara katika kumtatulia matatizo yake hata kwa kumpa mawazo yako na kumpa moyo, ataona umuhimu wako na wakati mwingine kukushirikisha kila afanyalo kabla ya kulifanya hasa baada ya kuona anaishi na mwanamke mwenye busara.

2. Kujali
Imezoeleka kuwa mwanaume ni kichwa cha nyumba na yeye ndiye muwezeshaji wa kila kitu katika familia, hilo ni sawa na halina ubaya wowote, lakini kuna baadhi ya wanawake wanakosa busara ya kawaida kwa kufuja mali za mumewe kisa eti ameolewa.
Mjali mumeo bwana, mume wako anahitaji ujali mali zake na pesa zake kwa ujumla. Kuna baadhi ya wanawake hutumia pesa hovyo kwa matumizi ya chakula na mahitaji mengine ya familia kwa kisingizio kuwa ni wajibu wa mwanaume kufanya kila kitu katika familia.
Maisha siku hizi yamekuwa magumu, mwanaume anapenda kuwa na mwanamke ambaye anajua bajeti vizuri ili awe na uhakika kuwa hata kama siku akiwa hana fedha za kutosha utaweza kutumia kiasi kidogo atakachokupatia. 
Siku hizi wanawake wengi ambao wameolewa nao hufanya kazi kwa minajili ya kujiongezea kipato, sasa kuna baadhi ya wanawake akipokea mshahara wake ni siri yake na hahitaji hata mumewe afahamu kuwa anapata kiasi gani. 
Wanawake wa aina hiyo mishahara yao huishia kununua vipodozi na nguo mbalimbali ili waweze kwenda na wakati huku wakisahau kabisa wajibu wao katika kuwasaidia waume zao.
Huo siyo ustaarabu, unapokuwa unafanya kazi na mumeo pia anafanya kazi ni wajibu wenu kusaidiana kwa kila hali, unapopata mshahara wako ni vyema ukamshirikisha mumeo ili muweze kujua namna mtakavyotumia na siyo kubaki na mshahara wako wote bila ya kumshirikisha mumeo.
Elewa kitu kimoja maisha ya siku hizi ni kusaidiana, hivyo ni wajibu wako wewe mwanamke kumsaidia mumeo kifedha kama unafanya kazi. 

3. Mahaba
Pamoja na yote hayo niliyoeleza hapo juu, usisahau kumpa mahaba motomoto mumeo. Hili lina mapana na marefu yake ambayo siku moja nitakuja kuyaeleza kupitia ukurasa huu.
Kwa kifupi unatakiwa kuwa mtundu sana na mbunifu wa hali ya juu katika uwanja ule wa kujidai. Jitahidi kuwa mpya kila siku ili mumeo awe mpofu asiwaone wanawake wa nje kabisa.
Ni hayo tu, tukutane tena wiki ijayo kwa mada nyingine.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog