Skip to main content

Ronaldinho chanzo bifu la Barcelona

Ronaldinho






BARCELONA, HISPANIA
WAKATI Rais wa Barcelona, Sandro Rosell na kocha wa zamani wa timu hiyo, Mdachi Johan Cruyff, wakiwa hawatazamani usoni, suala la usajili wa Mbrazili Ronaldinho, linadaiwa kuwa chanzo kikuu cha uhasama wa wawili hao.
Kwa mujibu wa Rosell, Cruyff alichukia kutokana na kusajiliwa kwa Ronaldinho tofauti na matakwa yake.
Cruyff aliyewahi kuwa kocha wa Barcelona kati ya mwaka 1988 na 1996, amekuwa akirushiana maneno makali na Rosell na hivi karibuni alidai kwamba hatahudhuria mechi yoyote ya Camp Nou kwa kipindi ambacho Rosell ataendelea kuwa madarakani. Lakini, Rosell anaamini hasira za Cruyff zimetokana na yeye kupuuza ushauri wa kocha huyo katika usajili aliotaka ufanyike na wao kumsajili Ronaldinho kutoka PSG mwaka 2003.
“Ilitokea kipindi kile ambacho nilikuwa Makamu Rais,” alisema Rosell.
“Alitoa ushauri wa kusajili wachezaji watatu; (Pablo) Aimar, (David) Albelda na (Roberto) Ayala, lakini sisi tuliwasajili Ronaldinho, Deco, Edmilson na (Rafael) Marquez. Hapo ndipo utata ulipoanza nadhani,” alisema.
“Kama hataki kuja Camp Nou, basi tutakuwa na nafasi moja ya wazi. Kama nitatakiwa kuitetea Barcelona, basi nitafanya hivyo.”
Msimu huu Barcelona ilimsajili Neymar kwa Euro 57 milioni, huku Cruyff akibeza kwamba staa huyo wa Brazil hataweza kucheza pamoja na Muargentina, Lionel Messi.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog