Skip to main content

Ronaldinho chanzo bifu la Barcelona

Ronaldinho






BARCELONA, HISPANIA
WAKATI Rais wa Barcelona, Sandro Rosell na kocha wa zamani wa timu hiyo, Mdachi Johan Cruyff, wakiwa hawatazamani usoni, suala la usajili wa Mbrazili Ronaldinho, linadaiwa kuwa chanzo kikuu cha uhasama wa wawili hao.
Kwa mujibu wa Rosell, Cruyff alichukia kutokana na kusajiliwa kwa Ronaldinho tofauti na matakwa yake.
Cruyff aliyewahi kuwa kocha wa Barcelona kati ya mwaka 1988 na 1996, amekuwa akirushiana maneno makali na Rosell na hivi karibuni alidai kwamba hatahudhuria mechi yoyote ya Camp Nou kwa kipindi ambacho Rosell ataendelea kuwa madarakani. Lakini, Rosell anaamini hasira za Cruyff zimetokana na yeye kupuuza ushauri wa kocha huyo katika usajili aliotaka ufanyike na wao kumsajili Ronaldinho kutoka PSG mwaka 2003.
“Ilitokea kipindi kile ambacho nilikuwa Makamu Rais,” alisema Rosell.
“Alitoa ushauri wa kusajili wachezaji watatu; (Pablo) Aimar, (David) Albelda na (Roberto) Ayala, lakini sisi tuliwasajili Ronaldinho, Deco, Edmilson na (Rafael) Marquez. Hapo ndipo utata ulipoanza nadhani,” alisema.
“Kama hataki kuja Camp Nou, basi tutakuwa na nafasi moja ya wazi. Kama nitatakiwa kuitetea Barcelona, basi nitafanya hivyo.”
Msimu huu Barcelona ilimsajili Neymar kwa Euro 57 milioni, huku Cruyff akibeza kwamba staa huyo wa Brazil hataweza kucheza pamoja na Muargentina, Lionel Messi.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...