Skip to main content

TANZANIA KUWA MWENYEJI MKUTANO MKUU WA MWAKA WA VYOMBO VYA UTANGAZAJI NCHI ZA SADC

mshana
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) Bw. Clement Mshana(kushoto) akieleza kwa waandishi wa habari (hawapo Pichani) kuhusu mkutano Mkuu wa mwaka wa Vyombo vya Utangazaji vya nchi Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika(SADC) unaotarajiwa kufunguliwa rasmi tarehe 21 october 2013 Jijini Arusha, ambapo mgeni rasmi atakuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Kulia ni Mratibu wa Kanda wa Shirika hilo Bw. Joe Rugarabamu.
Picha na Hassan Silayo-MAELEZO
SHIRIKA LA UTANGAZAJI TANZANIA (TBC)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
MKUTANO MKUU WA MWAKA WA VYOMBO VYA UTANGAZAJI VYA NCHI ZA JUMUIA YA MAENDELEO KUSINI MWA AFRIKA (SADC)
Chama cha Vyombo vya Utangazaji vya nchi zilizo Kusini mwa Afrika, kila mwaka hufanya Mkutano Mkuu (Annual General Meeting) katika nchi mojawapo mwanachama. Chama hiki kijulikanacho kama ‘SOUTHERN AFRICAN BROADCASTING ASSOCIATION’, kwa kifupi SABA, mwaka huu kimeipa heshima Tanzania kuwa mwenyeji wa Mkutano Mkuu wa mwaka.. Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ndiye mwenyeji wa mkutano huu wa 21 ambao utafanyika tarehe 21 hadi 24 Oktoba, 2013  katika ukumbi wa AICC, jijini Arusha
Mkutano huo unatarajiwa kufunguliwa rasmi tarehe 21 Oktoba, 2013 na Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete. Viongozi wengine watakaohudhuria ni Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Waziri wa Maliasili na Utalii, na Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, pamoja na wajumbe kutoka nchi Mashirika wanachama wa SABA. Mkutano huo pia utahudhuriwa na mabalozi kutoka nchi za SADC, Mamlaka za Udhibiti wa Mawasiliano katika nchi wanachama, vyombo vya utangazaji vya kimataifa, wawakilishi wa vyombo vya utangazaji vya nchini Tanzania na nchi jirani za Afrika Mashariki na wataalamu wa masuala ya utangazaji na utalii.
Kauli mbiu ya mkutano huo Mkuu wa SABA ni ‘NAFASI YA VYOMBO VYA UTANGAZAJI KATIKA KUKUZA UTALII’. Washiriki wa Mkutano huo watajadili kwa kina mbinu na changamoto za kutumia vyombo vya utangazaji katika kukuza utalii. Tanzania itatumia fursa hii kuzidi kutangaza na kuhamasisha jamii kuhusu Maajabu Matatu kati ya Saba ya Asili ya Afrika yaliyoko Tanzania, ambayo ni Mlima Kilimanjaro, Ngorongoro na Serengeti.
Wakati wa mkutano huo kutakuwa na mada mbalimbali za kitaalamu zitakazowasilishwa na kujadiliwa kuhusu teknolojia ya dijiti na fursa zake kwa vyombo vya utangazaji vya Afrika. Aidha masuala ya ubora wa maudhui ya vipindi, mikakati ya utangazaji wa kidijiti kwa televisheni na redio yatajadiliwa.
Nchi  14 wanachama wa SABA ni Afrika ya Kusini, Angola, Botswana, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Lesotho, Malawi, Mauritius, Msumbiji, Namibia, Seychelles, Swaziland, Tanzania, Zambia na Zimbabwe.
Kwa kuwa mkutano huu unafanyika nchini mwetu, nachukua nafasi hii kuwakaribisha wadau wote wa utangazaji na utalii kushiriki kwenye mkutano huu muhimu wa kimataifa. Kuhusu ushiriki tafadhali fuatilia matangazo ya mkutano huu yanayotolewa kwenye televisheni na redio za TBC.
Asanteni sana.
Clement Mshana
Mkurugenzi Mkuu, TBC
3 Oktoba, 2013. 

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog