Skip to main content

UJUMBE WA TANZANIA WAFANYA MAZUNGUMZO NA BENKI YA DUNIA


Ujumbe wa Tanzania wakutana na Benki ya Dunia mjini Washington DC na kufanya majadiliano juu ya usimammizi wa uchumi wa Tanzania. Akizungumza katika mahojiano hayo, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile alisema kuwa kikubwa  kilichojadiliwa katika majadiliano hayo ni masuala ya ajira kwa vijana na wanawake.
‘Katika suala zima la ajira tumeangalia ni namna gani tunaweza kuzalisha ajira zaidi na ni sekta zipi ambazo ni muhimu, na ambazo tunaweza kuziangalia. Suala la kilimo ndio hasa limeonekana kuwa na tija zaidi kwa sababu kilimo kinachukua watu wengi sana kwa Tanzania.’ Alisema Likwelile.
Katika mazungumzo hayo ujumbe kutoka Tanzania uliweza kujadiliana na Benki ya Dunia kuhusiana na miundombinu hasa barabara, masuala mazima ya upatikanaji wa umeme pamoja na masuala ya bandari.
Katika mazungumzo hayo walijikita zaidi katika sekta zisizo rasmi  ambapo ndiko kuna watu wengi na wamekubaliana kuwa wataangalia ni namna gani tija inaweza kuimarishwa na masuala mazima ya ajira, elimu na ujuzi wa watu kuweza kufanya kazi.
Katika kuhitimisha majadiliano hayo Dkt. Likwelile alisema kuwa Benki ya Dunia wanakamilisha ripoti kwa kushirikiana na tume ya mipango ili baadae tuwe na vitu ambavyo vitasaidia katika sera zetu na suala zima la ajira na uchumi mzima unaweza kuangaliwa.
Mikutano hii ya mwaka bado inaendelea hapa mjini Washington DC.

Imetolewa na:

Ingiahedi Mduma

Msemaji Mkuu

Wizara ya Fedha

Washington D.C

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog