Skip to main content

UJUMBE WA TANZANIA WAFANYA MAZUNGUMZO NA BENKI YA DUNIA


Ujumbe wa Tanzania wakutana na Benki ya Dunia mjini Washington DC na kufanya majadiliano juu ya usimammizi wa uchumi wa Tanzania. Akizungumza katika mahojiano hayo, Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius Likwelile alisema kuwa kikubwa  kilichojadiliwa katika majadiliano hayo ni masuala ya ajira kwa vijana na wanawake.
‘Katika suala zima la ajira tumeangalia ni namna gani tunaweza kuzalisha ajira zaidi na ni sekta zipi ambazo ni muhimu, na ambazo tunaweza kuziangalia. Suala la kilimo ndio hasa limeonekana kuwa na tija zaidi kwa sababu kilimo kinachukua watu wengi sana kwa Tanzania.’ Alisema Likwelile.
Katika mazungumzo hayo ujumbe kutoka Tanzania uliweza kujadiliana na Benki ya Dunia kuhusiana na miundombinu hasa barabara, masuala mazima ya upatikanaji wa umeme pamoja na masuala ya bandari.
Katika mazungumzo hayo walijikita zaidi katika sekta zisizo rasmi  ambapo ndiko kuna watu wengi na wamekubaliana kuwa wataangalia ni namna gani tija inaweza kuimarishwa na masuala mazima ya ajira, elimu na ujuzi wa watu kuweza kufanya kazi.
Katika kuhitimisha majadiliano hayo Dkt. Likwelile alisema kuwa Benki ya Dunia wanakamilisha ripoti kwa kushirikiana na tume ya mipango ili baadae tuwe na vitu ambavyo vitasaidia katika sera zetu na suala zima la ajira na uchumi mzima unaweza kuangaliwa.
Mikutano hii ya mwaka bado inaendelea hapa mjini Washington DC.

Imetolewa na:

Ingiahedi Mduma

Msemaji Mkuu

Wizara ya Fedha

Washington D.C

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...