Skip to main content

HIVI NDIVYO Rais Kabila alivyozuru mashariki mwa Congo

 


Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo,Joseph Kabila, anatembelea eneo la mashariki mwa Congo ambalo awali lilidhibitiwa na kikundi cha waasi wa M23, ambacho kilishindwa katika mapigano dhidi ya majeshi ya Congo yakisaidiwa na yale ya Umoja wa Mataifa, mwezi mmoja uliopita.
Anatarajiwa kuwasili eneo la Rutshuru -- eneo ambalo lilikuwa ngome kuu ya waasi karibu na mpaka wa Uganda.
Bwana Kabila amefanya safari ya urefu wa kilomita mia tisa kwa njia ya gari mashariki mwa Congo kuonyesha imani yake kuhusu kuimarika kwa usalama katika eneo hilo.
Amevitaka vikundi vingine vyenye silaha nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kujisalimisha, la sivyo vitashughulikiwa kama ilivyotokea kwa kikundi cha M23.
Eneo la Rutshuru lilikuwa chini ya udhibiti wa M23 kwa zaidi ya mwaka mmoja na wakaazi wa eneo hilo wameiambia BBC kuwa waasi hao waliwaua na kuwateka watu wengi.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...