Skip to main content

KILI STARS YAIKOMALIA ZAMBIA MICHUANO YA CECAFA, YATOKA SARE YA 1-1, BURUNDI YAWAADHIBU MABAHARIA WA SOMALIA!!

Wachezaji-wa-timu-ya-Kilimanjaro-Stars-wakishangilia-bao-dhidi-ya-SudanNa Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Dar es salaam
TIMU ya Taifa ya Tanzania bara, The Kilimanjaro Stars imeanza kwa sare michuano ya Mataifa ya Afrika mashariki na kati, CECAFA Challenge baada ya jioni ya leo kufungana bao 1-1 na waliowahi kuwa mabingwa wa Afrika, timu ya Taifa ya Zambia maarufu kwa jina la Chipolopopo kwenye uwanja wa Kenyatta, Machakos, Kenya.
Zambia walikuwa wa kwanza kuandika bao katiKa mchezo huo wa kundi B kupitia kwa nyota wake Ronald Kampamba dakika ya 41, akiunganishwa kwa kichwa `ndosi` krosi iliyochongwa na aliyewahi kuwa mchezaji bora wa Afrika wa Tuzo ya BBC,  Felix Katongo.
Chipolopolo walitawala zaidi mchezo huo kipindi cha kwanza na kutengeneza nafasi nyingi za kupata magoli, lakini umahiri wa kipa mkongwe Ivon Philip Mapunda uliiokoa stars kwani aliokoa michomo kadhaa ya Wazee wa Risasi za Shaba.
Kipindi cha pili, Kili Stars ilicheza mpira mzuri na katika dakika ya 48 walipata bao kupitia kwa beki Said Morad akiunganisha mpira wa kona uliochongwa na kiungo mahiri Salum Abubakar ‘Sure Boy’ .
Bao hilo liliwapa nguvu Stars na kuanza kusaka soka la uhakika na kuwaacha Zambia wakihaha huku na kule, lakini mlinda mlango wao, Nsabata Toaster aliwasaidia sana kwa kuokoa hatari nyingi langoni mwake.
Kikosi cha Stars kilikuwa; Ivo Mapunda, Himid Mao, Erasto Nyoni, Said Morad, Kevin Yondan, Frank Domayo, Salum Abubakar ‘Sure Boy’/Ramadhani Singano ‘Messi’ dk89, Hassan Dilunga/Athumani Iddi ‘Chuji’ dk85, Elias Maguri/Haroun Chanongo dk72, Amri Kiemba na Mrisho Ngassa.
Chipolopolo; Nsabata Toaster, Bronson Chama, Jimmy Chisenga/Kabaso Chongo dk67, Christopher Munthali, Rodrcik Kabwe, Stanley Nshimbi/Alex Nshimbi dk57, Sydney Kalume, Kondwani Mtonga, Felix Katongo/Salulani Phiri dk73, Ronald Kampamba na Festus Ndewe.  
Mchezo wa mapema uliwakutanisha timu ya Taifa ya Burundi dhidi ya Somalia na kushuhudia Warundi wakiibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye uwanja wa Kenyatta, Machakos nchini Kenya.
Mabao ya Burundi yalitiwa kambani na nyota wake Abdoul Fiston dakika ya 40 na Nduwarugira Christopher dakika ya 55.
 Kwa matokeo ya mechi za leo za kundi B, Burundi wanaongoza kundi hilo kwa pointi tatu wakifuatiwa na Kili Stars na Zambia wenye pointi moja, huku wasomali wakiburuza mkia.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...