Skip to main content

KILI STARS YAIKOMALIA ZAMBIA MICHUANO YA CECAFA, YATOKA SARE YA 1-1, BURUNDI YAWAADHIBU MABAHARIA WA SOMALIA!!

Wachezaji-wa-timu-ya-Kilimanjaro-Stars-wakishangilia-bao-dhidi-ya-SudanNa Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Dar es salaam
TIMU ya Taifa ya Tanzania bara, The Kilimanjaro Stars imeanza kwa sare michuano ya Mataifa ya Afrika mashariki na kati, CECAFA Challenge baada ya jioni ya leo kufungana bao 1-1 na waliowahi kuwa mabingwa wa Afrika, timu ya Taifa ya Zambia maarufu kwa jina la Chipolopopo kwenye uwanja wa Kenyatta, Machakos, Kenya.
Zambia walikuwa wa kwanza kuandika bao katiKa mchezo huo wa kundi B kupitia kwa nyota wake Ronald Kampamba dakika ya 41, akiunganishwa kwa kichwa `ndosi` krosi iliyochongwa na aliyewahi kuwa mchezaji bora wa Afrika wa Tuzo ya BBC,  Felix Katongo.
Chipolopolo walitawala zaidi mchezo huo kipindi cha kwanza na kutengeneza nafasi nyingi za kupata magoli, lakini umahiri wa kipa mkongwe Ivon Philip Mapunda uliiokoa stars kwani aliokoa michomo kadhaa ya Wazee wa Risasi za Shaba.
Kipindi cha pili, Kili Stars ilicheza mpira mzuri na katika dakika ya 48 walipata bao kupitia kwa beki Said Morad akiunganisha mpira wa kona uliochongwa na kiungo mahiri Salum Abubakar ‘Sure Boy’ .
Bao hilo liliwapa nguvu Stars na kuanza kusaka soka la uhakika na kuwaacha Zambia wakihaha huku na kule, lakini mlinda mlango wao, Nsabata Toaster aliwasaidia sana kwa kuokoa hatari nyingi langoni mwake.
Kikosi cha Stars kilikuwa; Ivo Mapunda, Himid Mao, Erasto Nyoni, Said Morad, Kevin Yondan, Frank Domayo, Salum Abubakar ‘Sure Boy’/Ramadhani Singano ‘Messi’ dk89, Hassan Dilunga/Athumani Iddi ‘Chuji’ dk85, Elias Maguri/Haroun Chanongo dk72, Amri Kiemba na Mrisho Ngassa.
Chipolopolo; Nsabata Toaster, Bronson Chama, Jimmy Chisenga/Kabaso Chongo dk67, Christopher Munthali, Rodrcik Kabwe, Stanley Nshimbi/Alex Nshimbi dk57, Sydney Kalume, Kondwani Mtonga, Felix Katongo/Salulani Phiri dk73, Ronald Kampamba na Festus Ndewe.  
Mchezo wa mapema uliwakutanisha timu ya Taifa ya Burundi dhidi ya Somalia na kushuhudia Warundi wakiibuka na ushindi wa mabao 2-0 kwenye uwanja wa Kenyatta, Machakos nchini Kenya.
Mabao ya Burundi yalitiwa kambani na nyota wake Abdoul Fiston dakika ya 40 na Nduwarugira Christopher dakika ya 55.
 Kwa matokeo ya mechi za leo za kundi B, Burundi wanaongoza kundi hilo kwa pointi tatu wakifuatiwa na Kili Stars na Zambia wenye pointi moja, huku wasomali wakiburuza mkia.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog