Skip to main content

KIUNGO MATATA STEVEN MAZANDA: MAANDALIZI YA MAPEMA YAMETUPA MAFANIKIO, NAPENDA VIJANA WANAVYOCHEZA SOKA KWA SASA!!

kikosiKiungo jembe wa Mbeya City FC, Steven Mazanda (waliosimama, wapili kulia) amesema hawana presha na kasi ya timu pinzani, mzunguko wa pili wako fiti balaa!
Na Baraka Mpenja wa Fullshangwe, Dar es salaam
Kiungo wa Mbeya City, Steven Mazanda, amesema siri ya mafanikio ya kikosi chao katika mzunguko wa kwanza wa ligi kuu soka Tanzania bara uliomalizika novemba 7 mwa huu na klabu hiyo kumaliza katika nafasi ya tatu kwa pointi 27 sawa na Azam fc katika nafasi ya pili ni maandalizi ya mapema waliyofanya pamoja na nidhamu kubwa ya wachezaji kuanzia uwanjani na nje ya uwanja.
“Unajua sisi tulijiandaa mapema sana, na ndio maana unaona kikosi kinacheza kitimu na kila mtu anavutiwa. Kiukweli kumekuwepo na changamoto za ushindani, lakini tunaingia katka kila mechi kuhitaji ushindi”. Alisema Mazanda.
Mazanda ambaye  amewahi kuzichezea timu za Tukuyu, Simba, Mtibwa na Kagera Sugar, kabla ya kuisaidia Mbeya City kupanda daraja ameongeza kuwa mzunguko wa pili hakika utakuwa mgumu kwao kwani timu nyingi zinajipanga kujiweka sawa katika msimamo.
“Kuna timu zitakuwa zinawania nafasi ya ubingwa, nyingine nafasi za katikati, wakati hatari zaidi itakuwa mkiani ambao klabu zitakuwa zinawania kukwepa mkasi wa kushuka daraja. Sisi tuko tayari kwa kupambana na hiyo ndiyo kazi yetu”. Alisema Mazanda.
 Kiungo huyo mwenye uwezo mkubwa wa kukaba, kupanda na kushambulia pia, ni mpigaji faulo mzuri amekiri kuwa vijana wamekuwa wakicheza soka safi sana na kuonesha juhudi zao, lakini kwa yeye aliyecheza soka kwa muda mrefu huwa hawampi  presha akiwa dimbani.
“Nafurahi sana kuona changamoto kubwa ya vijana wakiwa uwanjani, timu zote zinazotumia damu changa zinafanya vizuri sana, kiukweli hawa makinda wapewe nafasi ili sisi wakongwe tuwaoneshe jinsi mpira unavyochezwa”. Alisema Mazanda.
Mazanda alisema kwa sasa kazi yao ni moja tu ambayo ni kujiandaa kwa mzunguko wa pili na lazima kieleweke.
“Tulivyoanza, watu walisema nguvu ya soda, nadhani hata wewe mwenyewe ulisikia, lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda mbele, tulipata nguvu zaidi. Sasa ahadi yetu ni kuonesha soka la uhakika”. Alisema Mazanda.
Ingawa umri umeenda lakini uzoefu unaonesha kuwa  viungo huwa bora kwa jinsi umri unavyoenda.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog