Skip to main content

Kocha Keshi hatishiki kamwe!

Timu ya soka ya Nigeria

Kocha wa timu ya taifa ya Nigeria Stephen Keshi , anasisitiza kuwa hana wasiwasi wowote kwamba anaweza kufutwa kazi kabla ya kombe la dunia la Brazil la mwaka wa 2014.
Chini ya uongozi wa Keshi, Nigeria ilifanikiwa kufika fainali ya mwaka ujao baada ya kushinda Ethiopia 4-1 katika mechi za kufuzu kushiriki mchuano huo.
Ingawa Keshi aliyekuwa nahodha wa hapo awali wa Super Eagels, amekosa mechi mara mbili baada ya kampeni ya timu hiyo kufuzu kwa michuano hio.
Mwaka wa 2002 Keshi alikua msaidizi wa Shuaibu Amodu wakati Nigeria ilifuzu kucheza kombe la dunia, lakini wawili hao walifutwa kazi na nafasi yao kuchukuliwa na Adegboye Onigbinde kabla ya mechi za mwisho zilizochezwa Korea Kusini na Japan.
Miaka minne baadaye Keshi pia alifutwa kazi na Togo kabla ya kombe la dunia la 2006 nchini Ujerumani, ingawa alikuwa ameiongoza timu kwa mara ya kwanza hadi sasa katika historia ya nchi hio.
Hivyo basi Keshi akawa na wasiwasi kua kilichotendeka hapo awali kingejirudia kwa mara nyingine, lakini Keshi mwenye umri wa miaka 51 ana mtizamo wake wa kipekee kuhusu hali ya mchezo wa kandanda.
"kazi hii ni ya kuajiri na kufuta," Keshi alilielezea BBC michezo. "nilipofutwa kazi mwaka wa 2002 nilipata mshtuko lakini hiyo ni hali ya maisha, kwa hivyo hatuwezi kujuta na kuishi kwa machungu na masikitiko.
"tunaongea kuhusu Nigeria kwa hivyo huwezi jua kitakacho tendeka.
"lakini cha muhimu sasa hivi ni kuwa tunatazamia tu yale yajayo ambayo ni kuandaa wachezaji wangu pekee.''
"huezi jisikitisha na yaliyofanyika ama yanayoweza fanyika. Tumefaulu zaidi ya matarajio ya watu kadhaa, zoezi la kujijenga linaendelea.
"siishi na hofu ya kufutwa kazi. Kwa kusema kweli hiyo ni kumaliza tu nguvu.
Keshi alikuwa na uhusiano mgumu na waajiri wake wa shirikisho la soka la Nigeria tangu kuongoza kikosi ambacho hakikuwa na ujuzi kushiriki na kushinda kombe la taifa bingwa Afrika, kwenye mchuano uliofanyika nchini Afrika Kusini mwanzoni mwa mwaka 2013

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog