Skip to main content

Kocha Keshi hatishiki kamwe!

Timu ya soka ya Nigeria

Kocha wa timu ya taifa ya Nigeria Stephen Keshi , anasisitiza kuwa hana wasiwasi wowote kwamba anaweza kufutwa kazi kabla ya kombe la dunia la Brazil la mwaka wa 2014.
Chini ya uongozi wa Keshi, Nigeria ilifanikiwa kufika fainali ya mwaka ujao baada ya kushinda Ethiopia 4-1 katika mechi za kufuzu kushiriki mchuano huo.
Ingawa Keshi aliyekuwa nahodha wa hapo awali wa Super Eagels, amekosa mechi mara mbili baada ya kampeni ya timu hiyo kufuzu kwa michuano hio.
Mwaka wa 2002 Keshi alikua msaidizi wa Shuaibu Amodu wakati Nigeria ilifuzu kucheza kombe la dunia, lakini wawili hao walifutwa kazi na nafasi yao kuchukuliwa na Adegboye Onigbinde kabla ya mechi za mwisho zilizochezwa Korea Kusini na Japan.
Miaka minne baadaye Keshi pia alifutwa kazi na Togo kabla ya kombe la dunia la 2006 nchini Ujerumani, ingawa alikuwa ameiongoza timu kwa mara ya kwanza hadi sasa katika historia ya nchi hio.
Hivyo basi Keshi akawa na wasiwasi kua kilichotendeka hapo awali kingejirudia kwa mara nyingine, lakini Keshi mwenye umri wa miaka 51 ana mtizamo wake wa kipekee kuhusu hali ya mchezo wa kandanda.
"kazi hii ni ya kuajiri na kufuta," Keshi alilielezea BBC michezo. "nilipofutwa kazi mwaka wa 2002 nilipata mshtuko lakini hiyo ni hali ya maisha, kwa hivyo hatuwezi kujuta na kuishi kwa machungu na masikitiko.
"tunaongea kuhusu Nigeria kwa hivyo huwezi jua kitakacho tendeka.
"lakini cha muhimu sasa hivi ni kuwa tunatazamia tu yale yajayo ambayo ni kuandaa wachezaji wangu pekee.''
"huezi jisikitisha na yaliyofanyika ama yanayoweza fanyika. Tumefaulu zaidi ya matarajio ya watu kadhaa, zoezi la kujijenga linaendelea.
"siishi na hofu ya kufutwa kazi. Kwa kusema kweli hiyo ni kumaliza tu nguvu.
Keshi alikuwa na uhusiano mgumu na waajiri wake wa shirikisho la soka la Nigeria tangu kuongoza kikosi ambacho hakikuwa na ujuzi kushiriki na kushinda kombe la taifa bingwa Afrika, kwenye mchuano uliofanyika nchini Afrika Kusini mwanzoni mwa mwaka 2013

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...