Skip to main content

MZEE ABAKA MTOTO WA MIAKA 12 NA KUJITOSA BAHARINI KUKWEPA MKONO WA DOLA

musa-ali-musaKamishna wa Polisi Zanzibar CP Mussa Ali Mussa
………………………………………………………………………..
Na Mohammed Mhina, wa Jeshi la Polisi Zanzibar
Mzee mmoja mwenye umri wa miaka 55, mkazi wa Kijiji cha Kidutani Gando mkoa wa Kaskazini Pemba ametiwa mbaroni kwa tuhuma za kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka 12 na baadaye kujitosa bahari kukwepa mkono wa dola.
Mzee huyo Muslih Mserembe, alikamatwa na wananchi waliokuwa wamekizingira kibanda chake kilichojengwa kwa miti, kuezekwa kwa makuti na kukandikwa kwa udongo wakati akimbaka binti huyo bila ya huruma. (Jina la binti huyo linahifadhiwa kwa usalama).
Kamishna wa Polisi Zanzibar CP Mussa Ali Mussa, amesema kuwa tukio hilo limetokea jana majira ya saa 12.00 alfajiri wakati binti huyo akiwafuatilia wenzake kwenda shambani kuokota maembe na ndipo mzee huyo alipomuona na kumuita.
Amesema baada ya binti huyo kumsogelea mzee huyo, alimwambia waingie ndani ya nyumba yake akidai kuwa angempatia maembe badala ya kuwafuata wenzake na ndipo alipombaka na binti kupiga kelele za kuomba msaada.
Kamishna Mussa alisema baada ya kelel hizo wananchi walikwenda nyumbani kwa mzee huyo na wakati wakiizingira nyumba yake, mzee huyo alitoka na kutimua mbio na kwenda kujitosa baharini lakini wananchi nao walijitosa humo na kumvua kama samaki.
Amesema baada ya kumkamata mtuhumiwa huyo, wananchi hao walimpeleka katika kambi moja ya KMKM na ndipo Polisi walipofika na kumchukua kwa hatua zaidi.
Kamishna huyo wa Polisi Zanzibar amesema kuwa binti aliyebakwa alikimbizwa katika Hospitali ya Wete mkoa wa Kaskazini Pemba kwa matibabu zaidi na hali yake imeelezwa kuendelea vizuri.
Kamishna Mussa ambaye amelaani vikali kitendo hicho, lakini amepongeza hatua za wananchi za kumkamata mtuhumiwa bila ya kumzuru na kumfikisha kwenye vyombo vya dola akiwa salama.
Mtuhumiwa huyo atafikishwa mahakamani kujibu shitaka lake

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...