Skip to main content

VIJANA MKOANI KILIMANJARO WAHIMIZWA UTEKELEZAJI WA MALENGO YA MILENIA

IMG_3534Afisa Habari wa Kituo cha Umoja Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama akizungmza na wanafunzi wa shule ya Sekondari Umbwe mkoani Kilimanjaro juu ya umuhimu wa kujihusisha na kazi za Umoja wa Mataifa wakati wa ziara za kutembelea shule mbalimbali za mkoa huo.
Na. Mwandishi wetu.
Vijana wa shule za sekondari nchini wameaswa kuwa mabalozi wazuri pindi watakapomaliza masomo yao juu ya kuhamasisha utekelezaji wa malengo ya milenia kwa sababu ni dira ya maendelo ya taifa na dunia kwa ujumla.
Akizungumza na wanafunzi wa shule ya Wasichana Kibosho, Lyamungo na Umbwe sekondari hivi karibuni, Afisa Habari wa Kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa, Bi. Usia Nkhoma Ledama amesema malengo ya milenia yanagusa Nyanja zote za maendelo kwa vijana walio na wasio mashuleni.
Bi. Nkhoma amewataka wanafunzi wafanye kazi za kujitolea na kuhakikisha wanapeleka elimu waliopata kupitia vilabu vya Umoja wa Mataifa kwa jamii na kuhamasisha dhana ya kujitolea kwa maslahi ya nchi.
“kila ndani ya saa moja tuna vijana 50 ambao wanapata maambukizi ya VVU kati ya miaka 14-24 ambao wengi kati ya hao ni Wasichana, hivyo msijihusishe na masuala ya mapenzi mnapokuwa mashuleni”, amesema Bi. Nkhoma.
IMG_3558Bi. Usia Nkhoma Ledama akionyesha takwimu za Mimba za Utotoni zilizotolewa hivi karibuni (“Young People Today. Time to Act Now”) ambapo asilimia 25 ya watoto wa kike chini ya miaka 14 wanapata wakiwa mashuleni.
IMG_3550Pichani juu na chini ni vijana wa shule ya Sekondari Umbwe wakifuatilia kwa umakini mjadala wa masuala ya Umoja wa Mataifa uliiongozwa na Bi. Usia Nkhoma Ledama (hayupo pichani).
IMG_3544
IMG_3574Mwenyekiti Taifa wa Vilabu vya Umoja wa Mataifa Tanzania Bara na Visiwani (UNCTN) Bw. Rahim Rajab Nasser akifafanua jambo kwa vijana waliojiunga na klabu za Umoja wa Mataifa shuleni hapo juu ya umuhimu wa kuwa na cheti cha klabu ya Umoja wa Mataifa
IMG_3586Msafara wa wajumbe wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC) na wawakilishi wa Asasi ya Vijana wa Umoja wa Mataifa (YUNA/UNCTN) wakitazama baadhi ya kazi mbalimbali zinazofanywa na klabu ya Umoja wa Mataifa katika shule ya sekondari Umbwe ikiwemo shughuli za kuchangia damu, kusafisha mazingira na mengineyo yajihusishayo moja kwa moja na shughuli za jamii.
IMG_3630“Ubovu wa miundombinu ni changamoto kubwa kwa ziara yetu lakini ujumbe wa shughuli za Umoja wa Mataifa lazima ziwafikie walengwa”.
IMG_3679Afisa Habari wa Kituo cha Umoja Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama akifurahia uwepo wake mbele ya wanafunzi wa Kibosho Girls shule ambayo binafsi alisoma miaka 20 iliyopita, ambapo pia ujio wake ulikuwa chachu na hamasa kubwa kwa wanafunzi wa shule hiyo.
IMG_3666Baadhi ya wanafunzi wa shule ya Wasichana Kibosho wakimsikiliza kwa makini Bi. Usia Nkhoma Ledama.
IMG_3692Afisa Habari wa Kituo cha Umoja Mataifa (UNIC) Bi. Usia Nkhoma Ledama akiwasisitizia wasichana wa shule ya Kibosho juu ya umuhimu wa kujiamini na kujitambua wakati wa maamuzi yao binafsi.
IMG_3738Mmoja wa wanafunzi akiuliza swali kwa wajumbe wa Umoja wa Mataifa.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...