Skip to main content

ziara ya Naibu Waziri wa Uchukuzi katika madaraja ya Bahi-Kintinku

DSC_0622Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba (wa tatu kutoka kulia), akiongea na fundi ambaye anafanya shughuli za ujenzi katika Daraja la Reli la Bahi-Kintinku. Dk. Charles Tizeba amefanya ziara kwenye daraja  hilo na kupata taaarifa kuwa limekamilika kwa asilimia 98.  Aidha daraja hilo limegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 3.5. DSC_0625Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba (wa pili kutoka mbele), akishuka chini ya daraja la bahi-kintinku kuangalia maendeleo ya ujenzi wake. Daraja hilo linajengwa na Kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation(CCECC). Kukamilika kwa daraja hilo kutasababisha Treni za abiria na mizigo kupita kwa uhakika majira yote ya mwaka. DSC_0635Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba, akitoa maelekezo kwa Mhandisi Mkazi wa mradi  kutoka kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation(CCECC), Bw. Wang Chao(aliyevaa fulana ya rangi ya karoti), wakati alipotembelea mradi huo mapema wiki hii. Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 98 na litakabidhiwa kwa Serikali mapema tarehe 28 Novemba 2013. DSC_0640Mafundi wakiendelea na ukamlilishaji wa daraja la Reli la Bahi-kintinku kama walivyokutwa mapema wiki hii katika eneo la bahi mkoani Dodoma. Daraja hilo ambalo lina tani 32 litawezesha treni la Abiria na mizigo kupita kwa majira yote kwa uhakika. DSC_0644Muonekano wa daraja la reli linalojengwa na kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation(CCECC) katika eneo la Bahi mkoani Dodoma. Kukamilika kwa daraja hilo kutawezesha treni ya reli ya kati kupita kwa majira yote ya Mwaka. Aidha daraja hilo limekamilika kwa asilimia 98.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi)

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...