Skip to main content

ziara ya Naibu Waziri wa Uchukuzi katika madaraja ya Bahi-Kintinku

DSC_0622Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba (wa tatu kutoka kulia), akiongea na fundi ambaye anafanya shughuli za ujenzi katika Daraja la Reli la Bahi-Kintinku. Dk. Charles Tizeba amefanya ziara kwenye daraja  hilo na kupata taaarifa kuwa limekamilika kwa asilimia 98.  Aidha daraja hilo limegharimu kiasi cha Shilingi Bilioni 3.5. DSC_0625Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba (wa pili kutoka mbele), akishuka chini ya daraja la bahi-kintinku kuangalia maendeleo ya ujenzi wake. Daraja hilo linajengwa na Kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation(CCECC). Kukamilika kwa daraja hilo kutasababisha Treni za abiria na mizigo kupita kwa uhakika majira yote ya mwaka. DSC_0635Naibu Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Charles Tizeba, akitoa maelekezo kwa Mhandisi Mkazi wa mradi  kutoka kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation(CCECC), Bw. Wang Chao(aliyevaa fulana ya rangi ya karoti), wakati alipotembelea mradi huo mapema wiki hii. Ujenzi wa daraja hilo umekamilika kwa asilimia 98 na litakabidhiwa kwa Serikali mapema tarehe 28 Novemba 2013. DSC_0640Mafundi wakiendelea na ukamlilishaji wa daraja la Reli la Bahi-kintinku kama walivyokutwa mapema wiki hii katika eneo la bahi mkoani Dodoma. Daraja hilo ambalo lina tani 32 litawezesha treni la Abiria na mizigo kupita kwa majira yote kwa uhakika. DSC_0644Muonekano wa daraja la reli linalojengwa na kampuni ya China Civil Engineering Construction Corporation(CCECC) katika eneo la Bahi mkoani Dodoma. Kukamilika kwa daraja hilo kutawezesha treni ya reli ya kati kupita kwa majira yote ya Mwaka. Aidha daraja hilo limekamilika kwa asilimia 98.
(Picha na Kitengo cha Mawasiliano Serikalini-Uchukuzi)

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog