Skip to main content

ASERNAL, CHELSEA HAKUNA MBABE USIKU HUU, WAIACHA LIVERPOOL NA SUAREZ WAKE IKIBARIZI KILELENI EPL!!


Getting heated: Arsenal and Chelsea players come together during an ill tempered game at the Emirates


LIGI kuu soka nchini England (EPL) imeendelea usiku huu kwa mechi moja  kubwa kupigwa  baina ya washika bunduki wa London, klabu ya Asernal dhidi ya Chelsea.
Kipute hicho kimepigwa katika dimba la Emirates na kushuhudia timu hizo zikitoka suluhu pacha ya bila kufungana (0-0).
Mchezo wa leo ulikuwa muhimu kupata ushindi kwa kocha Aserne Wenger,  kwani amekutana zaidi ya mara 10 na Mourinho wote wakiwa makocha na kushindwa kupata matokeo ya ushindi.
Asernal walicheza vizuri na kufika mara kadhaa katika eneo la hatari la Chelsea, lakini walishindwa kutikisha nyavu za wapinzani wao.
Ulikuwa usiku mzuri kwa Mourinho, kikosi chake kilicheza vizuri sana na kuonesha uimara, lakini mipango yake ilikataa.
Pia mechi hii ilikuwa muhimu kwa Asernal kwani walitakiwa kushinda ili kurejea kileleni mwa msimamo wa EPL baada ya Liverpool kushinda wikiendi na kushikilia usukani kwa kujikusanyia pointi 36.
Kwa matokeo ya suluhu, Asernal wanabakia nafasi ya pili kwa kujikusanyia pointi 36 sawa na Liverpool, lakini wanazidiwa kwa wastani mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa.
Sasa Majogoo wa jiji wanaojivunia ubora wa Luis Suarez  wanaendelea kukaa kileleni mwa ligi kuu soka nchini England na wengine wakiisoma namba.
 Shughuli inaanza: Wachezaji wa Arsenal na Chelsea wamekutana usiku huu katika mchezo mgumu dimba la Emirates
Nafasi ya tatu inakaliwa na Manchester City wenye pointi 35, huku Chelsea wakibakia katika nafasi yao ya nne kwa pointi 34, sawa na Everton waliopo katika nafasi ya tano, lakini tofauti ni mabao ya kufunga na kufungwa.
Mabingwa watetezi, Manchester United wapo nafasi ya nane na pointi zao 28 na juu yake yupo Tottenham Hospurs mwenye pointi 30.
Kikosi cha Arsenal usiku huu: Szczesny 6, Sagna 7, Mertesacker 7, Vermaelen 7, Gibbs 7, Ramsey 6, Arteta 7, Walcott 6, Ozil 6, Rosicky 6, Giroud 6.
Wachezaji wa akiba: Podolski, Monreal, Cazorla, Flamini, Fabianski, Bendtner, Jenkinson.
Kikosi cha Chelsea: Cech 6, Ivanovic 7, Cahill 7, Terry 7, Azpilicueta 7, Mikel 6, Lampard 7, Ramires 6, Willian 6, Hazard 7, Torres 6.
Wachezaji wa akiba: Cole, Luiz, Mata, Oscar, Schurrle, Schwarzer, Eto’o.
Eyes on the ball: Both Mikel and Arteta go for the ballMacho kwenye mpiral:  Mikel na  Arteta wakichuana kwenye mpira
High jump: Fernando Torres jumps for the ball in the Chelsea penalty areaAmaruka juu: Fernando Torres akiruka juu kupiga kichwa mpira kwenye eneo la penati la Chelsea
Getting the cross in: Gary Cahill vies with Arsenal striker Olivier GiroudAkipiga krosi: Gary Cahill akipambana na mshambuliaji wa Arsenal  Olivier Giroud
Hitting the woodwork: Frank Lampard sees his effort hit the crossbar and bounce to safetyIkigonga besela: Frank Lampard akiangalia mpira uliopiga na kugonga mwamba

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog