Skip to main content

ASERNAL, CHELSEA HAKUNA MBABE USIKU HUU, WAIACHA LIVERPOOL NA SUAREZ WAKE IKIBARIZI KILELENI EPL!!


Getting heated: Arsenal and Chelsea players come together during an ill tempered game at the Emirates


LIGI kuu soka nchini England (EPL) imeendelea usiku huu kwa mechi moja  kubwa kupigwa  baina ya washika bunduki wa London, klabu ya Asernal dhidi ya Chelsea.
Kipute hicho kimepigwa katika dimba la Emirates na kushuhudia timu hizo zikitoka suluhu pacha ya bila kufungana (0-0).
Mchezo wa leo ulikuwa muhimu kupata ushindi kwa kocha Aserne Wenger,  kwani amekutana zaidi ya mara 10 na Mourinho wote wakiwa makocha na kushindwa kupata matokeo ya ushindi.
Asernal walicheza vizuri na kufika mara kadhaa katika eneo la hatari la Chelsea, lakini walishindwa kutikisha nyavu za wapinzani wao.
Ulikuwa usiku mzuri kwa Mourinho, kikosi chake kilicheza vizuri sana na kuonesha uimara, lakini mipango yake ilikataa.
Pia mechi hii ilikuwa muhimu kwa Asernal kwani walitakiwa kushinda ili kurejea kileleni mwa msimamo wa EPL baada ya Liverpool kushinda wikiendi na kushikilia usukani kwa kujikusanyia pointi 36.
Kwa matokeo ya suluhu, Asernal wanabakia nafasi ya pili kwa kujikusanyia pointi 36 sawa na Liverpool, lakini wanazidiwa kwa wastani mzuri wa mabao ya kufunga na kufungwa.
Sasa Majogoo wa jiji wanaojivunia ubora wa Luis Suarez  wanaendelea kukaa kileleni mwa ligi kuu soka nchini England na wengine wakiisoma namba.
 Shughuli inaanza: Wachezaji wa Arsenal na Chelsea wamekutana usiku huu katika mchezo mgumu dimba la Emirates
Nafasi ya tatu inakaliwa na Manchester City wenye pointi 35, huku Chelsea wakibakia katika nafasi yao ya nne kwa pointi 34, sawa na Everton waliopo katika nafasi ya tano, lakini tofauti ni mabao ya kufunga na kufungwa.
Mabingwa watetezi, Manchester United wapo nafasi ya nane na pointi zao 28 na juu yake yupo Tottenham Hospurs mwenye pointi 30.
Kikosi cha Arsenal usiku huu: Szczesny 6, Sagna 7, Mertesacker 7, Vermaelen 7, Gibbs 7, Ramsey 6, Arteta 7, Walcott 6, Ozil 6, Rosicky 6, Giroud 6.
Wachezaji wa akiba: Podolski, Monreal, Cazorla, Flamini, Fabianski, Bendtner, Jenkinson.
Kikosi cha Chelsea: Cech 6, Ivanovic 7, Cahill 7, Terry 7, Azpilicueta 7, Mikel 6, Lampard 7, Ramires 6, Willian 6, Hazard 7, Torres 6.
Wachezaji wa akiba: Cole, Luiz, Mata, Oscar, Schurrle, Schwarzer, Eto’o.
Eyes on the ball: Both Mikel and Arteta go for the ballMacho kwenye mpiral:  Mikel na  Arteta wakichuana kwenye mpira
High jump: Fernando Torres jumps for the ball in the Chelsea penalty areaAmaruka juu: Fernando Torres akiruka juu kupiga kichwa mpira kwenye eneo la penati la Chelsea
Getting the cross in: Gary Cahill vies with Arsenal striker Olivier GiroudAkipiga krosi: Gary Cahill akipambana na mshambuliaji wa Arsenal  Olivier Giroud
Hitting the woodwork: Frank Lampard sees his effort hit the crossbar and bounce to safetyIkigonga besela: Frank Lampard akiangalia mpira uliopiga na kugonga mwamba

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...