Skip to main content

CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM) CHAKABIDHI TREKTA KWA VIJANA WA NJOMBE WANAOJISHUGHULISHA NA KILIMO

1Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi funguo za Trekta kwa Mwenyekiti kwa vijana Tumsume Shemgogo lililotolewa na chama cha Mapunduzi CCM  kwa vijana wa mkoa wa Njombe katika makabidhiano yaloyofanyika kwenye Kambi ya vijana iliyopo kwenye kijiji cha Mlengu Kata ya Kiangala Tarafa ya Ikuo mkoani Njombe ambapo kambi hiyo ina eneo lenye ukubwa wa  hekta 300 za mashamba, Kinana aliahidi kutoa  trekta hilo wakati alipofanya ziara ya kikazi mkoani Njombe mwezi Agosti mwaka huu  baada ya kuelezwa jinsi vijana hao walivyojiunga pamoja katika kikundi na kuamua kushughulika na kilimo ili kujkwamua kiuchumi, Leo Abdulrahman Kinana alishiriki kulima kwa trekta kabla ya kukabidhi trekta hilo kama anavyoonekana katika baadhi ya picha akilima shambani  kwa trekta.  Kushoto anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Nape Nnauye Katibu wa NEC  Siasa, Itikadi na Uenezi, Katika Ziara hiyo Kinana  pia ameongozana  na Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kamataifa na Mbunge wa kuteuliwa.(PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MAKETE-NJOMBE)  2aKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akilima shambani kabla ya kukabidhi trekta hilo. 2bKatibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiliendesha kwa umakini kabisa. 6Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kamataifa na Mbunge wa kuteuliwa akikumbatiana kwa furaha na Mkuu wa Wilaya ya Makete Josephin Matiro mara baada ya kuwasili katika eneo la mapokezi huko Chimala Mbeya. 8Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana kulia akizungumza na Kapten mstaafu Aseri Msangi mara baada ya kuagana na Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh. Abbas Kandoro wa pili kutoka kushoto na viongozi  wengine wakati alipowasili katika eneo la Mapokezi huko Chimala mkoani Mbeya leo 9Kinana akisalimiana na viongozi mbalimbali wa mkoa wa Njombe. 10Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Njombe Ndg, Deo Sanga “Jah People” akizungumza wakati wa mapokezi hayo kulia ni Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na kutoka kushoto ni Dr. Asha Rose Migiro Katibu wa NEC Siasa na Uhusiano wa Kimataifa na Nape Nnauye Katibu wa NEC Siasa, Itikadi na Uenezi. 12Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kucheza ngoma ya kabila la Wawanji huko linalopatikana mkoani Njombe. 13Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na vijana wa Kambi ya Mlengu kabla ya kukabidhi trekta kwa vijana hao. 14Wananchi wa kijiji cha Mlengu wakimsikiliza Abdulrahman Kinana hayupo pichani wakati alipokuwa akizungmza nao. 16Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifurahia jambo wakati alipokagua darasa la ushonaji wa nguo katika chuo cha Veta mjini Makete Kushoto ni Dr. Asha Rose Migiro na katikati ni Mkurugenzi wa Veta Kanda ya Kusini  Monica Mbele, 18Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozwa na Mkurugenzi wa Veta Kanda ya Kusini Monica Mbele wakati alipokagua chua cha Veta mjini Makete leo kushoto ni Josephin Matiro Mkuu wa Wilaya ya Makete. 19Injini Asifiwe Swalo mwalimu wa chuo cha VETA Makete akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana wakati alipotembelea chuoni hapo na kukagua shughuli mbalimbali zinazoendeshwa na chuo hicho, kulia ni Mkurugenzi wa VETA Kanda ya Kusini Monica Mbele. 20Mwanafuzni wa fani ya ujenzi Abel Mbilinyi akimuelezea Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jinsi wanavyofyatua matofari yaliyochanaganywa udongo wa kawaida na saruji kidogo na faida zake 21Mkuu wa mkoa wa Njombe Kapten Aseri Msangi akiuliza swali kwa mwanafunzi Tito Fungo uimara wa matofari hayo huku Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Dr. Asha Rose Migiro  wakisikiliza kwa makini. 22Nape Nnauye akijenga njia zinazopita chuni hapo kwa matofari madogo huku Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana  na viongozi wengine wakiangalia. 23Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipanda mti wa kumbukumbu chuoni hapo. 25Dr. Asha Rose Migiro  katikati akiwa katika picha ya pamoja na Mkuu wa wilaya ya Makete Josephin Matiro kushoto na Monica Mbele Mkurugenzi wa VETA kanda ya Kusini. 24Picha ya pamoja ikipigwa

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog