Skip to main content

FAMILIA YA MWINYI YAZUA TAFRANI

Hii ndo nyumba yenyewe juzikati ilizua tafrani mtaani kufuatia mzozo mkubwa wa nyumba kati ya mjukuu wa Mzee Mwinyi, Abdi Hassan Mwinyi na anayedai ni mmiliki wa kurithi, Edward Francis Bogwe.
Tukio hilo lilijiri mwishoni mwa wiki iliyopita, Mwananyamala-Komakoma, Dar ambapo mtoto wa rais mstaafu huyo aitwaye Abas Mwinyi aliongoza sekeseke mtaani.
Mtoto wa Mwinyi ( wa pili kutoka kushoto), Abas akiwa nyumbani hapo.
Ishu ilikuwa hivi; miezi kadhaa iliyopita, Edward alimfikisha Mahakama ya Ardhi chini ya Jaji Kombolwa, Abdi akimtaka ahame kwenye nyumba hiyo ambayo ni mali ya familia, aliachiwa na marehemu baba yake, Francis Bogwe.
Baada ya kusikiliza utetezi wa pande zote mbili, mahakama ikaamuru Abdi ahame kwenye nyumba hiyo kwa vile ni mali ya Francis.
Francis akiongozana na madalali alikwenda kumtoa Abdi na vitu vyake, ikiwemo familia na kupiga kufuli milango muhimu ya kuingilia ndani na kuondoka nyumba ikiwa tupu.
Lakini siku mbili mbele, Abas akiwa na ndugu zake wengine pamoja na askari kibao, sambamba na huyo Abdi alifika akiwa na karatasi mkononi yenye maagizo kutoka Mahakama Kuu Kitengo cha Ardhi ikidai kuwa, Abdi aendelee kuishi ndani ya nyumba hiyo hadi keshi ya msingi iliyofunguliwa na Abas ya kupinga kuhamishwa kwa Abdi itakaposikilizwa.
Kesi hiyo ilisikilizwa Desemba 2, mwaka huu kwenye mahakama hiyo jijini Dar.
Baada ya kufika kwenye geti la nyumba hiyo na kukuta watoto wa familia ya Bogwe, akiwemo dada wa Francis aitwaye Josephine Bogwe, Abas alisema: “Shida yetu fungueni mlango tuingie ndani hii ni nyumba yetu mambo mengine tutajuana mahakamani.” (huku akionesha hati kutoka Mahakama ya Ardhi).
Baada ya kauli hiyo ndipo tafrani ilipoibuka ambapo Josephine alitoa makaratasi yanayoonesha kuwa, nyumba  hiyo ni haki yao kama familia.
Josephine alimtaka Abas na ndugu zake waoneshe vielelezo vyao vinavyoonesha kuwa nyumba hiyo ni yao.
“Hapa hadi kieleweke mnataka kutudhulumu haki yetu, haiwezekani mahakama itupatie haki nyinyi mnakuja na maaskari kuamuru nyumba ifunguliwe ili muingie ndani,” alisema Josephine.



Hata hivyo, katika kesi iliyofunguliwa na Abas kwenye Mahakama Ardhi, Jaji Mziray alisema Abdi si mmiliki halali wa nyumba hiyo kwa kuwa hana nyaraka zinazoonesha aliuziwa nyumba hiyo na marehemu Francis.
Kwa upande wa Edward, Jaji Mziray alisema kwamba hakutakiwa kumuhamisha Abdi mara ya kwanza bila kupata hati ya hukumu akatakiwa kushughulikia hati hiyo kwanza.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog