Skip to main content

Majeshi Sudan Kusini yajipanga kupigana


110523121044_south_sudan_army_304x171_afp_nocredit


                                                                         
Majeshi ya Sudan Kusini yanajiandaa kupambana na waasi katika mji wa Bor, Rais Salva Kiir amesema.
Rais Kiir ameliambia bunge la nchi hiyo kwamba majeshi yapo tayari na kuongeza kuwa mashambulizi yalichaleweshwa ili kuruhusu raia wa Marekani kuondolewa katika eneo hilo.
Bor, ni eneo lililokuwa na mgogoro ambalo lipo ndani ya jimbo la Jonglei lililoangukia mikononi mwa waasi siku ya jumatano.
Takribani wiki imepita tangu mapigano ya kikabila yaanze na kusababisha hofu kwa raia. Maafisa ya shirika la misaada wamelielezea eneo hilo kuwa na matukio ya umwakigaji damu pamoja na mauaji.
Mapema Majeshi ya Sudan Kusini yamethibitisha kuwa Bentiu, mji wenye utajiri wa mafuta katika jimbo la Unity limeangukia mikononi mwa wapiganaji wanaoungwa mkono na Makamu wa Rais aliyestaafu Riek Machar.
Rais Kiir , kutoka kabila kubwa nchini humo la Dinka, mwezi julai alimfuta kazi Bwana Machar anatokea jamii ya Nuer.
Rais Kiir anamtuhumu Bwana Machar kwa kufanya jaribio la kumpindua, jambo linalopingwa vikali na Machar.
CHANZO: BBCSWAHILI

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog