Skip to main content

Shilingi bilioni 43 `Mabilioni ya JK`zarejeshwa


Mary Nagu(5)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji na Uwezeshaji, Dk. Mary Nagu, akizungumza na waandishi wa habari juu ya mafanikio ya serikali ya awamu ya nne jijini Dar es Salaam jana.

Shilingi bilioni 43 kati ya bilioni 50.03 za mpango wa uwezeshaji wananchi kiuchumi na kuongeza ajira, maarufu kama “Mabilioni ya JK” zimerejeshwa kutoka kwa wajasiriamali 74,701 waliokopeshwa na serikali kwa awamu mbili tofauti katika mikoa yote nchini.
Fedha hizo zilitolewa kwa utaratibu wa serikali kutoa dhamana ya mikopo kwenye benki za CRDB, NMB, Community na Benki ya Posta.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji na Uwezeshaji), Dk. Mary Nagu, alisema hayo katika mkutano kati yake na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya serikali ya awamu ya nne katika maeneo yanayohusu Idara ya Maendeleo ya Sekta binafsi, Uwekezaji na Uwezeshaji, jijini Dar es Salaam jana.
Alisema wananchi waliokopeshwa fedha hizo wamepiga hatua kubwa kiuchumi na kwamba, serikali inaendelea kukusanya marejesho ya madeni ya mikopo iliyochukuliwa.
Kwa mujibu wa Waziri Nagu, hali hiyo ni uthibitisho kwamba Watanzania ni watu wanaoaminika pale wanapofuatiliwa.
Kutokana na hali hiyo, alisema serikali hivi sasa inafanya tathmini kuangalia uwezekano wa kuendelea kuwakopesha wananchi wengine ili kuwakomboa kiuchumi. 
 
Aidha, alisema serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi ya uwekezaji ili kuhamasisha na kuvutia miradi ya uwekezaji nchini.
Alisema serikali itaendelea kuhamasisha uwekezaji nchini kwa kuboresha na kutekeleza sera na sheria zitakazovutia uwekezaji kwani inasaidia kuongeza pato la taifa na kuongeza fursa za ajira kwa Watanzania.
Waziri Nagu alisema kutokana na jitihada za serikali za kuweka mazingira wezeshi na kuhamasisha wawekezaji wa ndani na nje ya nchi, idadi na thamani ya miradi iliyoidhinishwa na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) imeendelea kuongezeka mwaka hadi mwaka.
“Na hii inasaidia kuongeza pato la taifa na kuongeza fursa za ajira kwa Watanzania,” alisema Dk. Nagu.
Alisema ili kuendelea kuboresha sera na sheria za uwekezaji ziendane na mazingira na mahitaji ya uwekezaji, serikali imeshakamilisha maandalizi ya taarifa ya mapitio ya sera zinazohusu uwekezaji.
Kwa mujibu wa Waziri Nagu, maandalizi hayo yalifanyika kwa kutumia mfumo wa kutathmini sera za uwekezaji unaotumiwa na Shirika la Kimataifa la Ushirikiano wa Kiuchumi na Maendeleo (OECD).
Alisema nia ya serikali ni kuhakikisha sekta binafsi inachukua nafasi yake kwa kuwa ni moja ya misingi ya uchumi wa soko, hivyo akasema hakuna Mtanzania mwenye uwezo atakayekataliwa kuwekeza ili kukuza uchumi wa nchi. 
CHANZO: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog