Skip to main content

Wasafiri wengi wakwama Ubungo kwenda mikoani

 http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2013/12/Abiria-Ubungo-Terminal.jpg
 
Mamia ya abiria wamekwama kusafiri katika Kituo Kikuu cha Mabasi yaendayo mikoani na nchi jirani cha Ubungo (UBT) jijini Dar es Salaam, kufuatia kupanda kwa nauli na uchache wa magari uliopo hivi sasa.
Hali hiyo ilioneka jana saa 4:00 asubuhi baada ya NIPASHE kutembelelea kituo hicho na kushuhudia idadi kubwa ya wasafiri wanaokwenda mikoani wakiwa wamekwama huku wengine wakiamua kupiga kambi kituoni hapo wakiwa na watoto pamoja na mizigo.
Wakizungumza na NIPASHE, baadhi ya abiria waliokumbwa na adha hiyo hususani wale wanaosafiri kuelekea mikoa ya Arusha, Kilimanjaro, Mwanza, Mara, Kagera na Kigoma, walisema mamlaka za udhibiti na usimamizi wa usafirishaji wa abiria zimeshindwa kazi kutokana na tatizo hilo kujitokeza kila ifikapo mwisho wa mwaka.
Walisema kuwa mbali na kuwapo kwa Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), Chama Cha Kutetea Abiria (Chakua) pamoja na Chama cha Wamiliki wa Mabasi Nchini (Taboa), hakuna juhudi zinazoonekana kusaidia abiria.
“Kwa kweli wananchi tunapata shida sana na hapa Sumatra wapo humu ndani tangu asubuhi, lakini mchezo wa urushaji (kupanda) nauli upo pale pale, inafika wakati baadhi ya abiria leo wengine wamepanda magari ya mizigo ya Fuso kwa Shilingi 25,000 kwenda Tanga,” alisema Zuberi Abbas.
Walisema kuwa katika kipindi cha kawaida, nauli ya kutoka Dar es Salaam kwenda Tanga ni Sh.12,000, lakini tangu jana abiria walikuwa wanatozwa nauli ya kuanzia Sh. 25,000 hadi Sh. 40,000.
Abiria wapatao 60 waliotarajia kusafiri jana kuelekea mkoani Mara kwa basi la ‘Musoma Express’ walionekana wakitoa malalamiko yao Sumatra, Polisi na kwa wakala wa basi hilo kutokana na kucheleweshwa safari yao iliyotakiwa kuanza saa 12:00 asubuhi, lakini walikuwa bado kituoni hadi kufikia saa 5:10.
Kwa upande wa usafiri wa mabasi yaendayo mikoa ya Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, hali ilionekana kuwa shwari licha ya nauli kupanda tofauti na iliyopangwa na Sumatra.
Mabasi ya kutoka Dar es Salaam kwenda Iringa yamepandisha nauli kati ya Sh. 22,000 na 30,000 kutoka Sh.18,000.
Msemaji wa Chakua, Gervas Rutaguzinda, alithibitisha kuwapo kwa shida ya usafiri kwa abiria waendao mikoani na kusema kuwa hatua zilizochukuliwa ni kutafuta mabasi mengine ya ziada ili kuwasafirisha.
Alisema kuwa abiria zaidi ya 120 watasafirishwa na mabasi ya kampuni ya ‘Princess Muro’ kuelekea mikoa ya Kaskazini iliyojitolea kuwasafirisha kwa nauli iliyopangwa na Sumatra.
“Usafiri ni wa shida na abiria kama mnavyoona wamejaa humu ndani Ubungo, lakini kuna mabasi mawili ya kampuni hii ambayo siyo ‘route’ yao kuelekea Arusha, wamejitolea kusafirisha abiria hawa na watawatoza nauli ya siku zote,” alisema Rutaguzinda.
Naye Mjumbe wa Taboa, Mustapha Mwalongo, alisema tatizo halipo kwenye mabasi ila ni kutokana na msimu wa mwisho wa mwaka kuwa na abiria wengi kuliko wakati mwingine.
Alisema kuwa walishatoa agizo kwa abiria na mawakala wa mabasi kukata tiketi za abiria ndani ya ofisi na siyo nje ya ofisi ili kuepuka udanganyifu na usumbufu unaoweza kujitokeza.
“Mabasi yanayosafirisha abiria kila siku ni yale yale, ila abiria wameongezeka. Kipindi hiki vyuo, shule, wafanyakazi wa serikalini wanapewa likizo mwisho wa mwaka, hii inaleta msongamano mkubwa wa abiria,” alisema kisha kuongeza kuwa kungekuwa na utaratibu wa kubadili msimu wa kufunga shule ili kupunguza msongamano huo.
Alisema kwa hali ya sasa abiria anayetarajia kusafiri kesho yake hana uhakika wa safari kwa kuwa hakuna kampuni yenye mabasi mengi ya kukata tiketi siku hiyo na kuondoka.
“Kwa hapa nchini, hakuna mmiliki wa mabasi mwenye magari ya ziada, bado hatujafikia viwango vya nchi nyingine abiria anakatiwa tiketi ya safari ya kesho huku analiona gari likiwa limeegeshwa, sisi ni tofauti gari linakuwa safarini siku hiyo na lolote linaweza kujitokeza njiani kama ajali na hata kuharibika na safari ya kesho yake isiwapo,” alisema Mwalongo.
Kamanda wa Polisi UBT, Yussuf Kamotta, alisema wamedhibiti watu wanaosafirisha abiria kwa magari ya mizigo hususani Fuso na kwamba wanashirikiana na Sumatra ili kutoa vibali vya muda vya kuwasafirisha abiria ambao wamekwama kituoni hapo.
Naye Ofisa Leseni Udhibiti Sumatra, Sebastian Lehay, alisema kuwa kumekuwapo na ongezeko la abiria kila ifikapo mwisho wa mwaka na wamekuwa wakitoa ushauri kwa abiria kukata tiketi mapema.
CHANZO: NIPASHE

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog