Skip to main content

HII NDIO SKENDO INAYOMKABILI SNURA

Stori:  Shani Ramadhani na Mayasa Mariwata
STAA wa wimbo wa Majanga, Snura Mushi ameingia kwenye majanga baada ya kudaiwa kukacha na deni la prodyuza Mohammed Kandoro wa Studio za Fire Music ambaye alimrekodia nyimbo kadhaa wakati akisaka kutoka.
Snura Mushi.
Habari kutoka kwa chanzo cha kuaminika zinasema kuwa Snura ameingia mitini na kiasi cha Tsh. 400,000 za prodyuza huyo na kwamba sasa amehamia studio nyingine.
Risasi Mchanganyiko lilimvutia waya Kandoro na kumwuliza kuhusu ukweli wa minong’ono hiyo, ambapo alikiri na kusema: “Ni kweli namdai laki nne. Nimefanya naye kazi kwa muda mrefu lakini sasa naona ameamua kuondoka na deni langu.”
Snura alipopigiwa simu na kuelezwa kuhusu madai hayo, alifunguka: “Kama kuna deni basi meneja wangu HK (Hyper Man) ndiye anayehusika, maana kila kitu nilimkabidhi yeye na naamini alilipa, sasa kama hakulipa hayo ni mambo yanayomhusu yeye, si mimi tena.”
Katika kutafuta mzani wa habari, gazeti hili liliwasiliana na meneja wa Snura, HK ambaye alisema hana deni lolote analodaiwa na Kandoro, ingawa alikiri kumhamisha Snura studio.
“Kilichopo ni kwamba tumehama kwenye hiyo studio, sina ugomvi nao wala Snura hajawahi kutofautiana naye. Tumefanya hivi kwa lengo la kutafuta ladha tofauti... hayo mambo ya madeni, si kweli.



Hivi kama leo hii tunaweza kulipa zaidi ya shilingi milioni moja na laki nne (1,400,000) tunashindwaje kulipa laki nne tu? Hayo ni maajabu,” alisema HK.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...