Skip to main content

HIVI NDIVYO MSANII MAARUFU WA KUNDI LA FUTUI ALIVYOZIKWA

Majuto Omary
Mwigizaji wa filamu Swahilihood Marehemu Majuto Omary enzi za Uhai wake.
MAMIA ya wakazi wa jiji la Mwanza wamejitokeza kumzika mwigizaji na mchekeshaji nyota kutoka kundi la Futuhi Mzee Majuto Omari ‘ DUDE ‘ msanii huyo amefariki Leo SAA kumi na moja na kuzikwa leo hii huko jijini Mwanza.

Majuto Omary
Wadau wa sanaa wakiombea dua mwili wa Mzee Omary Dude
Majuto Omary
Mzee dude
Omary Majuto
Watu wakimzika msanii huyo
Majuto Omary
Maandalizi ya kaburi la Mzee Dude
Majuto Omary
Enzi za uhai wake Mzee Omary
Ndugu na jamaa marafiki na wapenzi wa kundi la Futuhi walijitokeza kumzika msanii huyo nyota, ambaye alijizolea umaarufu kupitia kipindi cha vichekesho maarufu kama Futuhi kinachorusha vichekesho vyake kupitia kituo cha Televisheni cha Star tv cha jijini Mwanza, FC tunatoa Pole kwa wafiwa wote. MUNGU AIWEKE ROHO YAKE MAHALA PEMA PEPONI ‘ AMEN.
CREDIT : SWAHILI HOOD

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...