Skip to main content

Hizi ndizo Sababu za Man Utd kumuuza Rooney



 


MANCHESTER, ENGLAND
MREMBO Coleen Rooney anasubiri kwa hamu kubwa mazungumzo ya mkataba mpya wa mumewe, Wayne Rooney wa kuendelea kubaki klabu Manchester United. Taarifa zinabainisha kwamba mchezaji huyo anaandaliwa mshahara wa pauni 300,000 kwa wiki.
Mrembo huyo anadaiwa kumtaka mumewe asaini mkataba mwingine wa miaka mitano wa kubaki Manchester ili kuwasubiri watoto wao; Kai, 4, na Klay mwenye umri wa miezi minane kuwa na umri mkubwa kabla ya kuhama.
Mkataba ambao Manchester United inataka kumpa Rooney una thamani ya pauni 65 milioni na utamfanya straika huyo kuwa mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi England.
Kwa sasa analipwa kiwango sawa na mchezaji mwenzake wa Manchester United, straika wa Kidachi, Robin van Persie, pauni 250,000 kwa wiki.
Rafiki wa mrembo Coleen, 27, anasema: “Kitu kikubwa Coleen hataki wahame kutoka Kaskazini Magharibi na jambo hilo ni muhimu sana kwa Wayne. Hataki kuondoka eneo hilo na kutokana na kupokea ofa nzuri ya pesa nyingi anaamini hilo ni jambo muhimu akabaki klabu hapo.”
Manchester United imeipiga marufuku Chelsea kwamba isithubutu kumfuatilia straika wao huyo kwa sababu hawawezi kumuuza kwa wapinzani. Real Madrid pia inafukuzia saini ya staa huyo wa Old Trafford.
Lakini, Coleen hayupo tayari kuona watoto wake wakihamia London wangali wadogo hivyo, ukiweka kando Hispania. Anachotaka yeye waendelee kubaki Manchester hadi hapo baadaye.
Familia hiyo inaishi Prestbury, Cheshire, na wazazi wa Coleen, Colette na Tony wanaishi umbali wa maili 50 huko Formby, Merseyside, karibu na familia ya akina Rooney.
Coleen amesema Rooney, ambaye alijiunga na Manchester United akitokea Everton mwaka 2004, atapata shida sana kutulia kama atacheza bila ya sapoti ya familia zao.
Lakini, kuna mtazamo tofauti wakati kocha David Moyes akihaha na kuafiki mshahara wa pauni 300,000 kwa Rooney, wachambuzi wa soka wanadhani Manchester United inapaswa kulichukulia kwa hadhari suala la mchezaji huyo.
Staa huyo tayari anaonekana kuiringia Manchester United kwa kuweka kando suala la kusaini mkataba mpya akisubiri hatima ya klabu mwishoni mwa msimu kama itakuwa ndani ya nne bora na kama klabu hiyo itafanya usajili wa mastaa wapya.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog