Skip to main content

HUYU NDIYE MCHUNGAJI WA TANZANIA ANAYELINDWA KAMA RAIS


Maisha ya Askofu wa Huduma ya Ngurumo ya Upako, Geor Davie anayevuma zaidi jijini Arusha na Dar es Salaam ni ya kifahari, anaabudiwa zaidi ya manabii na analindwa kuliko marais mbalimbali duniani.

Davie ambaye hujulikana zaidi kwa jina la Mtume, ana msafara mrefu kwenye ziara zake anazokwenda kutoa huduma ambao husheheni magari mengi ya kifahari kuliko marais wengi.
OneloveTz tuna mlolongo wa matukio ya Davie ambayo yanajieleza kwa picha ambazo zinabainisha namna mtumishi huyo wa Mungu anavyokula bata.

MSAFARA WA SHS. MIL. 200
Matukio yanaonesha kuwa, baadhi ya misafara ya Davie imekuwa na msururu mrefu wa magari ambayo hayapungui kumi.

Uchunguzi umeonesha kuwa, magari hayo, kila moja linanunuliwa kati ya shilingi milioni 20 na 40, hivyo thamani ya ‘mikoko’ peke yake inaleta wastani wa jumla ya zaidi ya shilingi milioni 200 bila ya mafuta ambayo nayo hugharimu fedha nyingi.

ULINZI DAH!
Kila sehemu ambayo Davie hufika kwa lengo la kutoa huduma, huzungukwa na walinzi kati ya nane na 10 ambao huvaa nadhifu, suti nyeusi na miwani nyeusi.

Walinzi hao, humzunguka Davie na kufanya anapotembea asikaribiwe na watu kwa urahisi, huku wakimuongoza hatua kwa hatua.

Habari zinadai kuwa walinzi hao wameajiriwa na Kanisa la Huduma ya Ngurumo ya Upako na hulipwa mishahara kwa ajili ya kumlinda kiongozi huyo.

GARI LAKE LINA BENDERA MBILI
gari la Davie ambalo hupambwa na bendera mbili kama ilivyo kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kwa kawaida, gari la rais hupambwa na bendera mbili, moja ikiwa ya taifa na nyingine ya rais.
Hata hivyo, blog hii halijapata ufafanuzi kuhusu bendera mbili za gari la Davie, ingawa waumini wake wanasema kwamba ni alama ya huduma ya kanisa lake.

NI RED CARPET KILA ANAPOKWENDA
Davie anaheshimiwa kwa kiasi kikubwa na waumini wa huduma ya kanisa lake, hivyo hutandikiwa zulia jekundu ‘red carpet’ kila anapokwenda kutoa neno, huku akizungukwa na walinzi wake.

FULL KUABUDIWA
Neno la Davie siyo tu kwamba linampa wafuasi bali pia kwa wengine humuabudu kwa imani kuwa amejaliwa ufunuo mkubwa wa matatizo ya binadamu aliopewa na Mwenyezi Mungu.
blog hili lina picha za watu wakisujudu na kumshika viatu kwa imani kwamba tendo hilo huwapa utakaso wa kiroho na matatizo mbalimbali.



Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...