Skip to main content

MATOKEO YA SENSA YA IDADI YA TEMBO KATIKA MFUMO WA IKOLOJIA WA SELOUS-MIKUMI NA RUAHA-RUNGWA

temboWizara ya Maliasili na Utalii inapenda kuujulisha umma matokeo ya sensa ya tembo iliyofanyika mwezi Oktoba na Novemba mwaka huu ili kuiwezesha Serikali kutambua hali ya rasilimali ya wanyamapori ndani na nje ya maeneo yaliyohifadhiwa.
Wizara kwa kushirikiana na wataalamu wa ndani na nje ya nchi imefanya sensa katika Maeneo ya Mfumo ikolojia wa Selous – Mikumi na Ruaha – Rungwa pekee kwa kuwa ni maeneo yenye tembo wengi nchini. 
Matokeo ya sensa hii yanaonyesha kwamba Mfumo wa ikolojia wa Selous-Mikumi kwa sasa una tembo wapatao 13,084 na Ruaha–Rungwa una tembo wapatao 20,090. Takwimu hizi zinaonesha kupungua kwa idadi ya tembo na hasa katika mfumo ikolojia wa Selous-Mikumi ikilinganishwa na Sensa za awali.
Takwimu za muda mrefu zinaonesha kwamba mwaka 1976 katika mfumo ikolojia wa Selous–Mikumi kulikuwa na tembo 109,419. Idadi hii ilipungua kufikia 22,208 mwaka 1991 kutokana na wimbi la ujangili uliokuwepo katika kipindi cha mwaka 1984 -1989. Hata hivyo, idadi hiyo iliongezeka na kufikia 70,406 mwaka 2006 baada ya Operesheni Uhai iliyofanyika mwaka 1989 na 1990 na juhudi za kimataifa za uhifadhi ikiwemo kusitisha biashara ya meno ya tembo.
Aidha, idadi ya tembo nchini ilipungua hadi kufikia jumla ya tembo 38,975 mwaka 2009 na kuendelea kupungua hadi kufikia tembo 13,084 hivi sasa.
Hali kama hiyo inaonekana pia katika mfumo wa ikolojia wa Ruaha-Rungwa ambapo sensa ya mwaka 1990 ilionesha kuwa na tembo 11,712 kutokana na wimbi la ujangili. Idadi hii iliongezeka na kufikia 35,461 mwaka 2006. Hata hivyo, idadi hiyo imepungua na kubakia tembo 20,090 hivi sasa.
Kwa matokeo haya inaonesha kuwa katika mfumo ikolojia wa Selous-Mikumi idadi ya tembo imepungua kwa asilimia 66 ikilinganishwa na idadi ya mwaka 2009 ambapo kulikuwa na jumla ya tembo 38,975. na katika Mfumo ikolojia wa Ruaha–Rungwa Tembo wamepungua kwa asilimia 36.5 ikilinganishwa na idadi ya mwaka 2009 ambapo kulikuwa na jumla ya tembo wapatao 31,625.
Kupungua huku kunathibitishwa na idadi ya mizoga ya tembo iliyohesabiwa wakati wa zoezi la sensa. Jumla ya mizoga 6,516 na 3,496 ilihesabiwa katika mifumo ikolojia ya Selous-Mikumi na Ruaha–Rungwa. Katika zoezi hili Wizara ilitumia vigezo vya uwiano wa mizoga na tembo hai waliohesabiwa (carcass ratio) kubaini vyanzo vya vifo hivyo. Katika hali ya kawaida, uwiano wa asilimia 7 – 8 unaashiria vifo vya asili kama vile ugonjwa na uzee. Zaidi ya asilimia hiyo inaashiria vifo visivyo vya asili.
Sensa iliyofanyika mwaka huu imeonesha uwiano wa asilimia 30 kwa mfumo ikolojia wa Selous-Mikumi na asilimia 14.6 kwa Ruaha–Rungwa. Kwa mujibu wa matokeo hayo, idadi kubwa ya vifo vya tembo vimetokana na vifo visivyo vya asili.
Uchambuzi wa kina umebainisha kuwa asilimia 95 na 85 ya mizoga iliyoonekana katika mifumo ikolojia ya Selous-Mikumi na Ruaha–Rungwa ni ya zaidi ya miezi 18 iliyopita.
Hii inaonesha kuwa juhudi za makusudi zilizofanywa na serikali ikiwa ni pamoja na kuimarisha doria na operesheni maalum mbalimbali za hivi karibuni zimesaidia kupunguza wimbi la ujangili kwa kiasi kikubwa.
Aidha, kukamatwa kwa meno ya tembo yenye uzito wa kilogramu 32,987 ndani na nje ya nchi katika kipindi cha 2008 hadi Septemba 2013 ni ishara tosha kuwa ujangili ni mojawapo ya sababu kubwa za kupungua kwa idadi ya tembo nchini.
Sababu nyingine ni kuongezeka kwa mifugo katika maeneo yaliyohifadhiwa na shoroba za wanyamapori. Mathalan, katika Pori Tengefu la Kilombero ambalo ni sehemu ya ikolojia ya Selous – Mikumi, mwaka 2002 lilikuwa na tembo 2,080, katika sensa ya mwaka huu, hukukuwa na tembo hata mmoja. 
Ongezeko la bei katika masoko ya biashara haramu ya meno ya tembo hususan katika nchi za Mashariki ya mbali ni kichocheo na kisababishi kikubwa.
Kufuatia hali hii, Wizara inaimarisha ulinzi wa wanyamapori kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama na taasisi nyingine za kanda na kimataifa pamoja na kuelimisha na kushirikisha wananchi katika masuala mbalimbali ya uhifadhi.
Ili kuimarisha na kuboresha shughuli za uhifadhi, Wizara iko katika hatua za mwisho za kuanzisha mamlaka mpya ya wanyamapori. Vilevile sheria za uhifadhi zinapitiwa ili kuruhusu kuanzishwa kwa mfumo wa kijeshi kwa watumishi wa sekta ya wanyamapori.
Wizara inapenda kuwatambua na kuwashukuru wafadhili wote waliofanikisha sensa hii iliyogharimu kiasi cha dola za kimarekani 160,000ikiwa ni fedha za serikali na wafadhili. Wafadhili hao ni Shirika la Misaada ya Kiufundi la Ujerumani (GIZ) kupitia Frankfurt Zoological Society (FZS) na Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) kupitia Mradi wa TANAPA wa SPANEST.
Imetolewa na
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii
Mhe. Lazaro Nyalandu (MB)
10/01/2014

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog