Skip to main content

MAZISHI YA DK MGIMWA; JIMBO LAZIZIMA

Stori: Na Francis Godwin, Iringa
KUFUATIA kifo cha Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Dk. Wiliam Mgimwa aliyefariki katika Hospitali ya Kloof Med- Clinic, Pretoria, Afrika Kusini wiki iliyopita na anayetarajia kuzikwa leo Kalenga, jimbo zima limezizima kwa simanzi.
Jeneza lenye mwili wa Dk. Mgimwa likiwa mbele ya waombolezaji jijini Dar.
Wananchi wa jimbo hilo wameingiwa na simanzi kwa kuwa enzi za uhai wake  marehemu alikuwa karibu sana na wapiga kura wake na hata maisha yake aliyokuwa akiishi ni tofauti na baadhi ya viongozi ambao wanalalamikiwa kwa kuwatelekeza wananchi wao baada ya kupanda vyeo.
“Natambua ni mapenzi ya Mungu ila kweli tulimpenda sana mbunge wetu alikuwa ni mtu wa kujishusha, asiyependa kujilimbikizia mali zaidi ya kuwatumikia  wananchi ....kweli kifo chake ni pigo kubwa,” alisema mmoja wa wapiga kura wake aliyejitambulisha kwa jina la Dismas Mbwela.
Gazeti hili lilifika nyumbani kwa marehemu eneo la Magunga Jimboni Kalenga  ambapo liliiona nyumba yake ambayo ni ya kawaida ukilinganisha na nyumba za wananchi wa kawaida na ni vigumu kuamini kama hapa ndipo nyumbani kwa  waziri wa fedha, hali inayoonesha kuwa alikuwa mwadilifu kama hayati  Baba wa Taifa, Mwalimu Julius K. Nyerere ambaye alikuwa akiwajali wananchi.



Katika kijiji hicho, hali ya huzuni imetanda na maandalizi ya mazishi ikiwa ni pamoja na sehemu atakapopumzishwa imeshaandaliwa. Mwenyekiti wa mazishi, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk. Christina Ishengoma na kamati yake wamekuwa kijijini hapo kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa. 

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog