Skip to main content

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo amaliza ziara yake katika Mkoa wa Pwani.

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Kisarawe Bi.Mwanamvua Mrindoko akimweleza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel(mwenyeshati Jeusi) Mpango wa kuendelea kuwawezesha vijana katika halmashauri yake kwa Kutekeleza mipango mbalimbali iliyowekwa ikiwamo kutoa mafunzo kwa vijana na kuongeza bajeti hadi kufikia shilingi milioni 40 kutoka milioni 10 iliyokuwa inatolewa hapo awali kwa mwaka wa fedha 2014-2015,wakati wa Ziara ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo kuangalia shuguhuli mbalimbali za vijana zinazoratibiwa na Wilaya hiyo.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel(mwenyeshati Jeusi) akiongea na vijana wa kikundi cha bodaboda wakati wakati wa Ziara ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo kuangalia shuguhli mbalimbali za vijana leo katika wilaya ya Kisarawe.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel(mwenye suti  Jeusi) akiwa katika picha ya pamoja na vijana wa kikundi cha bodaboda kutoka katika wilaya ya Kisarawe, wakati wa ziara yake ya kuangalia shuguhuli mbalimbali za vijana zinazoratibiwa na Wilaya hiyo

Afisa Maendeleo ya Jamii ya Vijana Toka Wilaya ya Mkuranga Bi.Safina Msemo akimweleza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel(kushoto) Mafanikio yaliyotokana na Utoaji wa asilimia tano(5%) katika pato la halmashauri kwa ajili ya shughuli za vijana,pia uandaaji  wa kambi ya vijana ya siku 40 watakayoshirikiana na Shirika la Nyumba la Taifa(NHC) kwa ajili ya kutoa mafunzo mbalimbali hasa katika sekta ya ujenzi, wakati wa Ziara ya Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Mkoani Pwani.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel akimsisitiza Afisa Maendeleo ya Jamii ya Vijana Toka Wilaya ya Mkuranga Bi.Safina Msemo(kulia) kuendelea kusimamia na kuratibu shughuli zinazotekelezwa na vijana katika Wilaya hiyo ili kuweza kuwasaidia kuleta maendeleo kwa Vijana

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel akisaini kitabu cha wageni alipotembelea kikundi cha MWAMKO FARM GROUP katika wilaya ya Mkuranga.kulia kwake ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Mkuranga Bi. Joyce Nampesya na Mbele yake ni Mwenyekiti wa Kikundi hicho Bw.Hemed Kassim.

Wanakikundi cha MWAMKO FARM GROUP toka Wilaya ya Mkuranga eneo la Kimanzichana wakimsikiliza Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel wakati wa ziara yake Mkoani Pwani.

Sehemu ya Miradi wa Kikundi cha MWAMKO FARM GROUP toka Wilaya ya Mkuranga,mbali na Ufyatuaji wa Matofali pia wanajishughulisha na ulimaji wa Miti ya miembe na uuzaji wa maji kwa wanakijiji wa eneo hilo kutokana na Visima viwili wanavyovimiliki.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel akiwa katika picha ya pamoja na wanakikundi cha MWAMKO FARM GROUP na baadhi ya Maafisa toka Wilaya ya Mkuraga.

Mwanakikundi cha NAMPULA CARVINGS Bw.Steven Mwidumbi akimuonesha Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo Prof.Elisante Ole Gabriel(mwenye suti NYEUSI) kinyago mfano wa nyani wanaodandia Miti,wakati alipowatembelea leo katika wilaya ya Mkuranga.
(Picha zote na Hassan Silayo-MAELEZO)
Posted By Blogger to THE GOVERNMENT OFFICIAL BLOG

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog