Skip to main content

HIZI NDIO SABABU ZA VIDEO YA MAJANGA YA SNURA KUFUNGIWA!!

 Inawezekana ukawa unashangaa baada ya kuona ukimya mara baada ya kutambulishwa kwa video ya Msanii Snura kisha kutoiona ikionekana mara kwa mara kwenye televisheni yako,kiu ya swali hili naikata kwa kusikiliza alichokisema Bosi anaesimamia kazi za Snura meneja wake ‘HK’.
Hk ameanza kwa kusema>>’Kilichotokea ni kwamba video ya Nimevurugwa ni video tuliyokua tunakata kiu ya mashabiki wetu waliokua wamemis vitu fulani kwenye video ya Majanga’

‘Wengi tulivyotoa video ya Majanga walizungumza mengi sana wakidai kwamba video haikuwa nzuri sana,video ya kawaida na sababu kubwa ilikua ni Snura hakukata mauno kwenye hiyo video,tukaona tukate kiu ya wapenzi wetu ambao ukiacha tu nyimbo za Snura watu wanapenda kumuona Snura akitumia maumbile yake kwenye kucheza’
‘Kwenye video ya Nimevurugwa kumekua na style tofauti sana kwenye upande wa kucheza,matokeo yake video ilipotoka siku chache vituo vya televisheni viliacha kupiga wimbo wa msanii wangu,nikiwa kama meneja nikaanza kuzunguka kujua ni sababu gani hawapigi video ya msanii wangu’
‘Baada ya kuzunguka kwenye baadhi ya vituo sababu waliniambia hawapigi kwa sababu ina viuno vingi sana na kudai vimezidi,vinashawishi ngono nilipoenda sehemu nyingine wakanambia hivyo hivyo kwamba sijui wakipiga hiyo video Tcra wanawapa barua ya onyo lakini vituo vya nje ya nchi inapigwa tu’
‘Kitu kinachonishangaza ni baadhi ya nyimbo zenye mahadhi kama ya nyimbo ya Snura zinapigwa kwenye vituo vya televisheni,nachofanya sasa hivi ni kuelekea Basata na Tcra na kuwapelekea ile nakala watuambie kama kweli ile video hairuhusiwi na ni kweli wamewakataza watu wasipige ile video,lakini mimi kama meneja sijapokea barua yoyote inayosema video ya msanii wangu imefungiwa’.
‘Hatua ya kwanza nayoifanya ni kwenda Tcra na Basata kujua kama hii kitu imefungiwa nikijua hapo nitajua kama ni kufanya upya ile video au kutoa hivyo vipande wanavyosema vinashawishi hivyo vitu,kisha nitoe upya hiyo

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog