Skip to main content

ROONEY, MATA WAMUOKOA MOYES

ROONEY, MATA WAMUOKOA MOYES

Posted by GLOBAL on March 29, 2014 at 6:30pm 0 Comments

Straika Wayne Rooneywa  Manchester United akishangilia goli lake la pili dhidi ya Aston Villa uliopigwa kwenye uwanja wa Uwanja wa Old Trafford, maskani kwa Man United.…

Straika Wayne Rooneywa  Manchester United akishangilia goli lake la pili dhidi ya Aston Villa uliopigwa kwenye uwanja wa Uwanja wa Old Trafford, maskani kwa Man United.
Ashley Westwood wa Aston Villa akishangilia bao lake katika dakika ya 13 kipindi cha kwanza.
Ndege ikipita juu ya paa la uwanja wa Old Trafford kumpinga kocha wa Manchester United, David Moyes.
Kocha wa Manchester United, David Moyes.
MABAO mawili yaliyofungwa na straika Wayne Rooney katika ushindi wa  Manchester United wa mabao 4-1
dhidi ya Aston Villa, umempa ahueni kocha wa man United David Moyes ambaye amekuwa akiandamwa na mabango ya kufukuzwa.
Mchezo huo, uliopigwa kwenye Uwanja wa Old Trafford, maskani kwa Man United, wageni ndiyo walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 13 Ashley Westwood kwa mpira wa adhabu uliokwenda moja kwa moja golini.
Kuingia kwa bao hilo, liliwaamusha Man United kwa kulisakama bao la Aston Villa na kufanikiwa kujipatia bao dakika saba baadaye kupitia kwa Rooney kwa kumalizia kichwa mpira uliopigwa na kiungo Shinji Kagawa.
Wakati Villa wakipigana kusawazisha bao hilo, Mata alididimiza matumaini yao kwa kuongeza bao la tatu katika dakika ya 57, likiwa ni bao lake la kwanza tangu ajiunga na timi hiyo akitokea Chelsea msimu huu.
Chicharito, aliyeingia kuchukua nafasi ya Rooney, alishindilia msumari wa mwisho katika jeneza la Villa katika dakika 90 na kumpa ahueni Moyes ambaye amekuwa akiandamwa na mashabiki wakimtaka kuachia ngazi kutokana na mwenendo wa mbaya wa timu hiyo.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...