Skip to main content

TAZAMA PICHA YA TRENI ILIYOPINDUKA NA KUUA HUKO DODOMA


Wafanyakazi walioajiriwa na shirika la Reli
Tanzania (TRL) wakitoa mchanga kwenye kichwa
cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa
kuamkia katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya
Mpwampwa. Katika ajali hiyo watu wawili
wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa na
kulazwa katika hospital ya Benjamin Mkapa
Wilayani Mpwampwa.
Sehemu ya mabehewa ya mafuta na ngano
ambayo hayakusombwa na maji katika ajali
iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika stesheni ya

Gulwe, hiyo imetokea saa 9.15 usiku. Treni hiyo ya
Mizigo ilikuwa ikitokea Dar es Salaam na kuelekea
Mkoani Kigoma na ilikuwa na mabehewa
yaliyobeba ngano, sukari na mafuta.
Njia ya Reli iliyoondolewa na maji katika stesheni
ya Gulwe Wilaya ya Mpwampwa kutokana na mvua
kubwa zinazoendelea kunyesha maeneno
mbambali nchini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban
Mwinjaka akitoka kwenye maji baada ya kuangalia
kichwa cha treni kilichopata ajali na kusombwa na
maji katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya
Mpwampwa, usiku wa kuamkia leo, kutokana na
mvua zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali
za nchi. Ajali hiyo imesababisha kifo cha watu
wawili na wengine saba kujeruhiwa na kulazwa
katika hospital ya Benjamin Mkapa iliyoko wilayani
Mpwampwa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk, Shaaban
Mwinjaka akimfariji mmoja wa Majeruhi wa Ajali ya
treni ya mizigo iliyotokea katika Stesheni ya Gulwe
Bw. Michael Lupatu wakati alipomtembelea katika
hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Wilayani
Mpwampwa leo mchana. Ajali hiyo ya treni ya
mizigo imetokea usiku wa kuamkia leo na
kusababisha kifo cha watu wawili na wengine saba
kujeruhiwa.

Comments

Popular posts from this blog

ANGALIA VIDEO YA MWANAMKE AKIZINI NA CHUPA YA SODA YANASWA

 Katika  hali  ya  kushangaza  na  kuashiria  miisho  ya  dunia, binti  mmoja  amenaswa  " live " akifanya  mapenzi  na  CHUPA YA SODA. Katika  video  hiyo, binti  huyo  anaonekana  akitoa  ushirikiano  wa  kutosha  mithili  ya .............

HUYU NDIYE ALIIYELAZIMISHWA KUFANYA MAPENZI NA MBWA PAMOJA NA FARASI KWA AJILI YA PESA.

When the Internet first came to the continent of  African society,most people were  very pleased with it because it reduces stress of communication with love around the world,it also serve as productive purposes like communication.It served many people for chatting, sending mails and even business. As the time passed by many ladies discovered that they could use the internet to find a chat friend or a life partner.Some girls have greatly benefited just by using the internet to find their dream marriages or relationhsips. Others have fallen into traps in the West and wish they would never have known what the internet was.This is the case of one Cameroonian,Elvire Axelle Tchamakoua. Continue....... SEE HOW IT ALL HAPPEN.... Axelle is pr00stit-te who is pimped to various men by her main man Jean Claude(French Businessman).She did not mind serving her customers from the front or from behind.The use of condoms during her encouters was the allowed as it b

HAYA NDO MANENO YA KUMPANDISHA hisia MPENZI WAKO UMPENDAE!!!!!

                                       Inawezekana wengi wetu tukawa tunayatumia bila kujua kwamba tumekusidia kuyatumia. Haya ni maneno au kauli ambazo mume/mke anaweza mwambia mwenza wake kama ishara ya kumpandisha "nyege" kabla ya kuanza  kufanya mapenzi. Wawili hawa wanaweza wakawa sehemu tofauti tofauti, mfano mume yupo kazini lakini anakaribia kurudi nyumbani, mke ukaanza "kumcharura" mumeo kwa kauli mbali mbali aidha kupitia sms au kwa kumpigia simu, ingawa kupitia sms ndo inasisimua zaidi! Hapa najua naongea na watu wazima, sina haja ya kuandika zaidi maneno yenyewe lakini kila mmoja ni mjuzi wa tabia na vitu ambavyo mwenza wake anavihusudu hasa mkiwa kitandani, mfano" Baby ukirudi leo nataka unipindishe pale katika dressing table kama ulivyonifanyia jana, na leo nimevaa lile gauni ulipendalo na zile bikini mpya, dont be late my love" Maneno haya kwa anayejua mapenzi na anampenda mkewe ni lazima huko alipo "Jogoo" awike kidog