Skip to main content

TAZAMA PICHA YA TRENI ILIYOPINDUKA NA KUUA HUKO DODOMA


Wafanyakazi walioajiriwa na shirika la Reli
Tanzania (TRL) wakitoa mchanga kwenye kichwa
cha treni ya mizigo kilichopata ajali usiku wa
kuamkia katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya
Mpwampwa. Katika ajali hiyo watu wawili
wamefariki dunia na wengine saba kujeruhiwa na
kulazwa katika hospital ya Benjamin Mkapa
Wilayani Mpwampwa.
Sehemu ya mabehewa ya mafuta na ngano
ambayo hayakusombwa na maji katika ajali
iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika stesheni ya

Gulwe, hiyo imetokea saa 9.15 usiku. Treni hiyo ya
Mizigo ilikuwa ikitokea Dar es Salaam na kuelekea
Mkoani Kigoma na ilikuwa na mabehewa
yaliyobeba ngano, sukari na mafuta.
Njia ya Reli iliyoondolewa na maji katika stesheni
ya Gulwe Wilaya ya Mpwampwa kutokana na mvua
kubwa zinazoendelea kunyesha maeneno
mbambali nchini.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk. Shaaban
Mwinjaka akitoka kwenye maji baada ya kuangalia
kichwa cha treni kilichopata ajali na kusombwa na
maji katika stesheni ya Gulwe, Wilaya ya
Mpwampwa, usiku wa kuamkia leo, kutokana na
mvua zinazoendelea kunyesha sehemu mbalimbali
za nchi. Ajali hiyo imesababisha kifo cha watu
wawili na wengine saba kujeruhiwa na kulazwa
katika hospital ya Benjamin Mkapa iliyoko wilayani
Mpwampwa.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Dk, Shaaban
Mwinjaka akimfariji mmoja wa Majeruhi wa Ajali ya
treni ya mizigo iliyotokea katika Stesheni ya Gulwe
Bw. Michael Lupatu wakati alipomtembelea katika
hospitali ya Benjamin Mkapa iliyopo Wilayani
Mpwampwa leo mchana. Ajali hiyo ya treni ya
mizigo imetokea usiku wa kuamkia leo na
kusababisha kifo cha watu wawili na wengine saba
kujeruhiwa.

Comments

Popular posts from this blog

VIDEO YA NGONO YA WANAOSADIKIKA KUWA NI WANAFUNZI WA IFM YAVUJA

Watu wawili wanaosadikika ni wanachuo wa IFM wajirecord video wakifanya ngono ndani ya........... chumba ambacho kinaonesha kama ni cha hosteli, fungua na uone upuuzi uliofanyika humu ndani…. KUANGALIA VIDEO HII LAZIMA UWE NA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 18+ KUANGALI BOFYA HAPA

Huyu Mzee Ndio Aliyetia Aibu Kwenye Bar Hii yenye Makahaba wanaocheza Nusu Uchi

 vijimambo kwenye bar zetu  

HUYU HAPA NDIYE MCHUNGAJI ADAI KUWAUA KANUMBA NA SHARO MILIONEA, AELEZEA JINSI ALIVYOFANYA....WAUMINI WAPIGWA NA BUTWAA..

Mwanaume aliyetambulishwa kwa jina la Mchungaji Mayanga amewashangaza waumini baada ya kudai kanisani kuwa yeye ndiye aliyewaua mastaa wawili Bongo, Hussein Ramadhan Mkiety ‘Sharo Milionea’ na Steven Kanumba ‘ The Great’ . Mchungaji Mayanga (mwenye kipaza sauti) akitoa ushuhuda. Tukio hilo lilitokea Jumapili iliyopita ya Oktoba 13, mwaka huu, huko Mzambarauni, Mbagala-Charambe jijini Dar katika Kanisa la Powerful Gospel Ministry lilipo chini ya Mchungaji Meshak Punkanya ambapo Mayanga alipewa nafasi ya kutoa ushuhuda. VIFO MILIONI 605  Mchungaji huyo alielezea kujuta kwake mbele ya kanisa kwa kudai kuwa kabla ya kuokoka alikuwa mchawi mkubwa aliyeishi kuzimu na kufanya kazi za mauaji sambamba na shetani mkuu (Lusifa) kwa kuwatumia vibaraka wake na majini. Mchungaji Mayanga alikiri kutekeleza vifo vya watu wapatao milioni 605 wakiwemo waigizaji hao. WAMO FIVE STARS, MTOTO WA DANDU Alisema kuwa kati ya watu aliowaua kwa njia za kishirikina wamo waimbaji wa Taarab wa Kun...